Waliofariki kwa ajali iliyotokea Same, wazikwa

Moshi. Mamia ya wananchi wilayani Same mkoani Kilimanjaro, wamejitokeza kushiriki maziko ya watu watatu wa familia tatu tofauti waliofariki dunia katika ajali ya magari mawili ya abiria yaliyogongana na kuwaka moto wilayani humo. Miili hiyo ya Irene Salehe, Erine Ndarai na Anjela Mshana imeagwa leo Ijumaa Julai 4, 2025 katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri…

Read More

FCC Yasisitiza Kulindwa kwa Wawekezaji wa Ndani, Yawataka Wananchi Kufika Banda la Viwanda Sabasaba

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Tanzania bi.Hadija Juma Ngasongwa amesema wawekezaji wa ndani ya nchi wanasimamiwa na sheria madhubuti zinazosimamia uwekezaji nchini, kusaidia kuimarisha biashara nchini, kulinda Akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 4 julai 2025 alipofanya ziara kwenye banda la viwanda na biashara katika maonyesho ya 49 ya biashara sabasaba…

Read More

Mama asimulia mwanaye aliyeuawa kwa kipigo…

Bukombe. “Mama nimepigwa sana… mama nisaidie, sijaleta vitu, nimekuja mama yangu unisaidie, nakufa nisaidie.” Hayo yalikuwa maneno ya mwisho ya Enock Mhangwa (25), mkazi wa Kijiji cha Uyovu wilayani Bukombe mkoani Geita, akimuomba msaada mama yake mzazi alipofikishwa nyumbani kwao akiwa taabani. Enock ambaye picha yake mjongeo ilienea kwenye mitandao ya kijamii jana, alionekana akipigwa…

Read More

Mama asimulia mwanawe anayedaiwa kuuawa kwa kipigo, Polisi yawashikilia watuhumiwa

Bukombe. “Mama nimepigwa sana… mama nisaidie, sijaleta vitu, nimekuja mama yangu unisaidie, nakufa nisaidie.” Hayo yalikuwa maneno ya mwisho ya Enock Mhangwa (25), mkazi wa Kijiji cha Uyovu wilayani Bukombe mkoani Geita, akimuomba msaada mama yake mzazi alipofikishwa nyumbani kwao akiwa taabani. Enock ambaye picha yake mjongeo ilienea kwenye mitandao ya kijamii jana, alionekana akipigwa…

Read More

PPAA YAONESHA MAFANIKIO YA AWAMU YA SITA SABASABA

::::::::::: Naibu Katibu Mkuu Huduma za Hazina Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Omolo ametembelea banda la Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam. Pamoja na mambo mengine, Bi. Omolo ameipongeza PPAA kwa kuanza matumizi ya Moduli ya kupokea na kushughulikia…

Read More

Majaliwa: WCF jengeni tabia ya kutembelea maeneo ya kazi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka watendaji wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kujenga tabia ya kutembelea maeneo ya kazi ili kuona mazingira ambayo wafanyakazi wanafanyia kazi. Sambamba na hilo, amewaagiza waajiri kutoa taarifa za wafanyakazi wao kwa wakati pindi wanapopatwa na madhila ili waweze kuhudumia na kutoa michango yao kwa wakati….

Read More