Hongera Mfaume huo ndiyo uanamichezo sasa

JUMAMOSI ya wiki iliyopita mapambano ya ngumi yaliyopigwa pale katika Viwanja vya Leaders Kinondoni yaliacha mijadala mikubwa baada ya kumalizika kwake. Mapambano mawili ndio yalijadiliwa sana ambayo moja ni la Mfaume Mfaume dhidi ya Kudakwache Banda kutoka Malawi na lingine lilikuwa la Ibrahim Classic dhidi ya Ramadhan Nassibu. Mfaume aliibuka mshindi kwa pointi dhidi ya…

Read More

WAGOMBEA JUMUIYA YA WAZAZI JIEPISHENI NA RUSHWA

::::::::: Katibu mkuu Jumuiya ya wazazi wa chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi ‎amewataka wagombea wa ubunge viti maalumu kupitia jumuiya hiyo pamoja na wapambe wao kuzingatia kanuni na Sheria za uchaguzi wa chama hicho na kujiepusha na masuala yote yatakayotia dosari uaminifu wao kwenye chama ikiwemo vitendo vya rushwa. Hapi ameyasema hayo leo Julai…

Read More

Simba yatanguliza jina la kipa…

MSAFARA wa kwanza wa Simba tayari umeshatua kambini jijini Ismailia, Misri, lakini kuna kitu kimefanywa na mabosi wa klabu hiyo kinachoonyesha namna gani walivyopania msimu ujao wa mashindano kwa kuamua kutanguliza majina ya kipa na beki wa kati kambini humo mapema. Simba iliondoka nchini jana Jumatano kwa msafara wa kwanza ukiwa na baadhi ya nyota…

Read More

Tuungane kwa ajili ya Taifa Stars CHAN

KESHOKUTWA ndiyo siku muhimu na kubwa katika soka letu hapa Tanzania ambalo ni mechi ya ufunguzi wa Fainali za CHAN baina ya Taifa Stars na Burkina Faso pale katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Sisi hapa kijiweni tumefurahia sana kusikia mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa 2:00 usiku kwa sababu tunaamini ni muda sahihi ambao watu…

Read More

ENDELEENI KULINDA RASILIMALI ZA WANYAMAPORI NA MISITU KWA WELEDI NA KUJITUMA-KAMISHNA BADRU

Kassim Nyaki, NCAA. Kamishna wa Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro Abdul-razaq Badru amewataka askari wa uhifadhi wa taasisi hiyo kuendelea kulinda rasilimali za wanyamapori, Misitu na malikale kwa ari na weledi ili taifa liendelee kunufaika na rasilimali hizo. Kamishna Badru ametoa maelekezo hiyo katika kilele cha siku ya askari wanyamapori duniani (World Rangers Day) leo…

Read More

Majaliwa anadi maeneo ya uwekezaji, ushirikiano

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amenadi maeneo ya uwekezaji nchini Tanzania alipozungumza na Rais mteule na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Biashara ya Afrika (Afreximbank), Dk George Elombi. Majaliwa amesema anaamini katika kipindi cha uongozi wa Dk Elombi, benki hiyo itaongeza kwa kiwango kikubwa mchango wake katika kusukuma…

Read More

Mbunge ataka polisi watende haki

Rukwa. Mbunge wa Nkasi Kaskazini (Chadema), Aida Khenani amelitaka Jeshi la Polisi kutimiza wajibu wao kwa kuzingatia weledi na kulinda taaluma yao badala ya kujiingiza katika vitendo vinavyoweza kutafsiriwa kama upendeleo wa kisiasa. Aida amesema hayo leo Alhamisi Julai 31, 2025, Mkoa wa Rukwa alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la kukamatwa kwa wanachama…

Read More

Straika Simba anukia Mbeya City

Mbeya City imetuma maombi ya kumuhitaji mshambuliaji wa Simba, Valentino Mashaka baada ya nyota huyo kushindwa kupenya katika kikosi cha kwanza, mbele ya washambuliaji wenzake kikosini humo, Leonel Ateba na Steven Dese Mukwala. Mashaka aliyejiunga na Simba Julai 5, 2024 akitokea Geita Gold, ameshindwa kuingia moja kwa moja katika kikosi cha timu hiyo chini ya…

Read More

Yanga yashusha beki kutoka Ulaya

INAELEZWA huenda Yanga Princess ikakamilisha usajili wa beki wa kati raia wa Nigeria, Akudo Ogbonna, akitokea IFK Kaimal inayoshiriki Ligi Kuu nchini Sweden. Mbali na Akudo, lakini inaelezwa Yanga Princess imemalizana na aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Simba, Precious Christopher na Ritticia Nabbosa. Akizungumza na Mwanaspoti, mmoja wa watu wa karibu wa mchezaji huyo alisema tayari…

Read More