Benki ya CRDB yapongezwa kuwapa elimu ya ujasiriamali wajasiriamali wa mtandaoni

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, Mheshimiwa Albert Chalamila ameipongeza Benki ya CRDB kwa jitihada zake za kuwaelimisha wajasiriamali wa mtandaoni kuhusu fursa zilizopo na namna wanavyoweza kushirikiana na taasisi hii kubwa zaidi ya fedha nchini kujikwamua kiuchumi. Pongeza hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki kwenye Semina ya Instaprenyua iliyowakutanisha wajasiriamali na waelimishaji wa mada…

Read More

Mcongo anyemelewa, Dodoma Jiji ikiachana na Mexime

Wakati Dodoma Jiji FC ikitangaza kuachana na Kocha Mkuu Mecky Maxime na kuvunja benchi lake la ufundi, timu hiyo inaripotiwa kuwa mbioni kumchukua kocha wa zamani wa Tabora United, Anicet Kiazmak. Mmoja wa watu wa karibu wa Kizmak ameiambia Mwananchi Digital kuwa kocha huyo raia wa DR Congo amefikia mahali pazuri katika mazungumzo yake na…

Read More

Huko Gaza, ushahidi ulioongezeka wa njaa na njaa iliyoenea – maswala ya ulimwengu

Uainishaji wa Uainishaji wa Awamu ya Usalama wa Chakula (IPC) unathibitisha kuwa Vizingiti vya njaa kwa matumizi ya chakula vimevunjwana viwango vya utapiamlo vikali katika jiji la Gaza kuthibitisha maonyo ya mara kwa mara ya mashirika. “Ushuhuda unaokua unaonyesha kuwa njaa iliyoenea, utapiamlo na magonjwa wanaendesha kuongezeka kwa vifo vinavyohusiana na njaa,” tathmini ya IPC…

Read More

Saa 10 za kusubiri moshi wa kijani watiania CCM

Dodoma. Zimepita zaidi ya saa 10 tangu waandishi wa habari wakusanyike katika ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuitikia wito wa chama hicho, kinachotarajia kutoa matokeo ya mchujo wa watiania wa ubunge, uwakilishi na udiwani. Anayesubiriwa ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla ambaye ndiye…

Read More

Utegemezi wa AI sasa janga kwa vijana

Dar es Salaam. Katika dunia ya sasa ambapo matumizi ya akili unde (AI) yameshika kasi, jamii imetahadharishwa kuwa kuna hatari ya kizazi kijacho kikawa na maarifa mengi, lakini kikakosa uwezo wa kuishi pamoja, kuelewana na kushirikiana kijamii. Angalizo hilo  limekuja ikiwa ni matokeo ya kushuka kwa kiwango cha maingiliano ya ana kwa ana miongoni mwa vijana…

Read More

Ibrahim Abbas ‘Nindi’, KMC mambo mazuri

BAADA ya maafande wa Mashujaa kuachana na aliyekuwa beki wa kati wa kikosi hicho, Ibrahim Abbas ‘Nindi’, mabosi wa KMC wamefikia makubaliano ya kumsajili, huku akipewa mkataba wa miaka miwili wenye kipengele pia cha kuongeza mwingine. Nindi ni mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania ya umri chini ya miaka 20, ambapo kwa sasa amekamilisha…

Read More

Simba yamalizana na straika Rwanda

MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Wanawake, Simba Queens wamemalizana na straika wa AS Kigali, Zawadi Usanase kwa mkataba wa mwaka mmoja. Huu unakuwa usajili wa pili rasmi kwa Simba baada ya awali kukamilisha taratibu zote na beki wa Yanga Princess, Asha Omary. Kwa mujibu wa uongozi wa mchezaji huyo, Local Champions ni kwamba…

Read More