RC BABU AZINDUA MSIMU WA TWENZETU KILELENI

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amewataka wawekezaji na wafanyabiashara wa ndani kuwekeza zaidi katika sekta ya utalii kwa kujenga hoteli ili kukabiliana na ongezeko la watalii wanaopanda mlima Kilimanjaro Akizungumza wakati wa uzinduzi wa msimu wa tano wa kampeni ya Twenzetu Kileleni Julai 2, Babu alisema kuwa wakati jitihada za Rais Samia Suluhu…

Read More

TIRDO Yaonesha Ubunifu na Ubobevu wa Kiteknolojia Sabasaba 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania(TIRDO) Prof.Mkumbukwa Madundo Mtambo amepongeza maandalizi na uboreshaji uliofanywa ndani ya Maonesho hayo yanayoendelea ndani ya Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba). Prof Mtambo alitembelea mabanda kadhaa kabla ya kufika katika banda la Wizara ya Viwanda na Biashara ambapo TIRDO pia ni washiriki ….

Read More

Namba zitaamua hatma ya mastaa Tanzania Prisons

BAADA ya kufanikiwa kubaki Ligi Kuu msimu ujao, benchi la ufundi la Tanzania Prisons limesema halitakurupuka kupangua kikosi, badala yake litachambua mchezaji mmoja mmoja kuhakikisha msimu ujao wanakuwa bora. Hata hivyo, limesisitiza kuwa lazima mabadiliko yawepo kwa kwa kuingiza sura mpya kutegemea na mipango yake ya msimu ujao kuhakikisha wanaondokana na presha kama ilivyowakuta msimu…

Read More

Babu aliyebaka mjukuu kisa pombe akwaa kisiki

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Moshi, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa babu aliyetiwa hatia kwa kumbaka mjukuu wake wa miaka 15. Babu huyo (tunahifadhi jina kwa sababu za kimaadili na kisheria zinazotaka mwathirika asitambuliwe kwa namna yoyote), mkazi wa Ngungu Kilema, wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro alitiwa hatiani kwa kitendo hicho alichotenda…

Read More

Tanzania Prisons, Mbeya City kupigwa pini Sokoine

MENEJA wa Uwanja wa Sokoine, Modestus Mwaluka amesema licha ya rekodi aliyoweka ya kutofungwa kwa uwanja huo, ataendelea kuwa mkali kwa timu zinazotumia uwanja huo kwa ajili ya mazoezi. Uwanja huo pekee mkoani Mbeya ndio hutumika mara kadhaa kwa timu za jijini humo kufanya mazoezi na mechi nyingine za mashindano ikiwa ni pamoja na za…

Read More

Pamba yarejea kwa straika Mzenji

BAADA ya mabosi wa Pamba Jiji FC kumkosa mshambuliaji wa Mlandege, Abdallah Iddi ‘Pina’, katika dirisha dogo la Januari 2025, inaelezwa wameanza tena harakati hizo upya, ili kuhakikisha msimu ujao anakichezea kikosi hicho cha ‘TP Lindanda’. Pamba ilianza harakati hizo tangu Januari 2025 za kumpata mshambuliaji huyo, ingawa hazikuweza kuzaa matunda, baada ya kuelezwa alisaini…

Read More