Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon

Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya CRDB BANK International Marathon. Tuzo hii ya hadhi ya juu imetolewa na CSR Society, shirika huru la kimataifa linalotambua na kuenzi mashirika yenye juhudi za uwajibikaji wa kijamii duniani kote lenye makao…

Read More

Mbinu saba za kukuza uwezo wa akili, kufikiri

Mwanza. Unajua kuwa akili yako inaweza kuimarika kwa mambo kadhaa madogomadogo unayoweza kuyafanya kila siku? Wataalam wa afya wameeleza mbinu saba za kuboresha uwezo wa akili na kufikiri. Pamoja na mbinu hizo kukuza uwezo wa kufikiri, pia wataalamu hao wanasema zinaimarisha afya ya mwili, kuondoa msongo wa mawazo na kukuza kumbukumbu. Wanasema kuna  tabia na…

Read More

UDOM YAJA NA ROKETI ITAKAYOSAIDIA SEKTA YA KILIMO

CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimebuni na kutengeneza sayansi ya roketi ambayo itasaidia katika mabadiliko ya hali ya hewa. Roketi hiyo yenye lengo yakufanya maboresho kwenye hali ya hewa. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo Jijini Dar es Salaam kwenye maonesho ya 49 kimataifa ya sabasaba, mhadhiri mwandamizi chuo kikuu cha UDOM, Dkt. Benatus…

Read More

Kanuni ya mchujo itazamwe upya

WALIOSHAURI na kupitisha kanuni ya kuwepo mechi za mchujo inawezekana walikuwa na nia nzuri lakini baada ya kijiwe kufanya tathmini ya misimu kadhaa ambayo kanuni hiyo imetumika kina ushauri wake. Na hapa sio kwa Ligi Kuu tu bali hadi Ligi ya Championship na First League ambayo ni madaraja yanayoongozana katika ngazi ya soka la Tanzania….

Read More

Andrew Simchimba asakwa Dodoma Jiji

UONGOZI wa Dodoma Jiji umeanza kumpigia hesabu mshambuliaji wa Geita Gold, Andrew Simchimba kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali, akitajwa ni mbadala sahihi wa aliyekuwa nyota wa kikosi hicho, Paul Peter aliyeondoka. Simchimba aliyezichezea timu mbalimbali ikiwemo pia, Coastal Union, Azam FC na Ihefu ambayo kwa sasa ni Singida Black Stars, yupo katika…

Read More

Vita ya BDL kurudi Julai 10

BAADA ya kukosa kuangalia utamu wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) kwa wiki mbili, ligi hiyo itaendelea tena Julai 10,  kwenye Uwanja wa Donbosco, Upanga. Ratiba iliyotolewa na kamishina wa ufundi na mashindano wa BDL, Haleluya Kavalambi, imeonyesha mchezo wa kwan-za utakuwa   kati ya Kurasini Divas na DB Troncatti, ukifuatiwa na…

Read More

Wazee 60+ wakae chonjo,  magonjwa haya hatari kwao

Kwa Tanzania na nchi nyingine duniani umri wa uzee ni miaka 60 kuendelea. Kitabibu umri huu ni moja ya kihatarishi cha kupata magonjwa yasiyoambukiza. Sababu ya kimsingi ni kutokana na mchanganyiko wa mambo kadhaa ya kibailojia kama vile kutumika na kulika hatimaye kuchakaa kwa viungo, mrundikano wa mambo ya hatarishi kiafya kadiri umri unavyoenda na…

Read More

Watu hawa hatarini kuugua bawasiri

Dar es Salaam. Iwapo unatumia simu yako unapoenda haja kubwa, huenda ukawa kwenye hatari ya kuathiriwa na kuvimba kwa mishipa ya damu iliyopo ndani au katika eneo linalozunguka njia ya haja kubwa. Ugonjwa huu unafahamika kwa kimombo kama hemorrhoids au bawasiri/hemoroidi kwa Kiswahili. Dk Mark Siboe, daktari wa upasuaji, anasema kuwa kutumia nguvu nyingi unapoenda haja…

Read More