Usiruhusu simu kudhuru maisha yako

Simu za mkononi zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku, zikitumika kama nyenzo rahisi ya mawasiliano pamoja na kuongeza ufanisi katika shughuli mbalimbali za kijamii na kiuchumi Hata hivyo, matumizi yake yasiyo sahihi yanatajwa na wataalamu wa afya kuwa na hatari kubwa kwa afya ya binadamu, ikiwa ni pamoja na kuhusishwa na magonjwa yasiyoambukiza…

Read More

Mido ya boli awindwa Azam FC

MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, wanaendelea na maboresho ya kikosi hicho kimya kimya kwa ajili ya msimu ujao ili kuleta ushindani, ambapo kwa sasa wameanza mazungumzo ya kuipata saini ya kiungo nyota wa KMC, Ahmed Bakari Pipino. Azam iliyomaliza katika nafasi ya tatu kwa pointi 63 katika Ligi Kuu Bara msimu…

Read More

Stand United, Fountain Gate kitawaka Shinyanga

VITA ya kuisaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao inaendelea leo kwa mechi ya play-off kati ya wenyeji Stand United ya Ligi ya Championship na Fountain Gate ya Ligi Kuu Bara, itakayopigwa kwenye Uwanja wa Kambarage, mjini Shinyanga. Chama la Wana linapambana kutaka kurejea Ligi Kuu kuungana na Mtibwa Sugar na Mbeya City…

Read More

Kocha Hamdi avunja ukimya, aanika ukweli kuondoka Yanga

SIKU chache tu tangu aiwezeshe Yanga kubeba mataji mawili kwa mpigo kati ya matatu aliyotwaa tangu alipojiunga nayo Februari 4 mwaka huu, kocha Miloud Hamdi amewafanya sapraizi mashabiki wa klabu hiyo, huku akifunguka kila kitu kuhusu maisha akiwa Jangwani na safari nzima anayoenda kuanza akiwa Misri. Kocha huyo raia wa Algeria, juzi usiku alitamabulishwa na…

Read More

Yanga yaanza na kiungo fundi wa boli

MABINGWA wa Kihistoria Yanga, kwa sasa imeanza hesabu mpya za kukisuka kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao, kwa nia ya kuhakikisha inaendelea pale ilipoishia msimu huu ilipotwaa mataji matano tofauti, ikiwamo kutetea ubingwa wa Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho (FA) kwa mara ya nne mfululizo. Katika kuhakikisha kila kitu kinaendelea kuwa sawa, mabosi…

Read More