
UMUHIMU WA MALEZI BORA KWA WATOTO
Sajenti Emmanuel Kisiri ambae ni polisi kata wa kata ya Ikoma Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara ameendelea kuihimiza jamii kulinda maadili ya watoto Akiendelea na kampeni yake ya Nyumba kwa Nyumba katika kijiji cha Robanda kitongoji cha Momorogoro kata ya Ikoma Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara Sajenti Emmanuel aliwakumbusha wazazi na walezi mambo yafutayo: Kumchapa…