Miili 36 ya ajali ya Same ilivyoagwa KCMC

Moshi. Ni siku iliyojaa huzuni na majonzi wakati familia za watu 36 kati ya 42 zikiaga miili ya wapendwa wao waliofariki dunia katika ajali ya magari mawili ya abiria wilayani Same, mkoani Kilimanjaro. Shughuli ya kuaga miili hiyo imefanyika leo Alhamisi Julai 3, 2025 kwenye viwanja vya Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC)…

Read More

CCT yasisitiza amani na utulivu uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Ikiwa imesalia miezi michache kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini, Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imesisitiza kuzingatiwa kwa maadili ya kisiasa na hali ya utulivu katika kipindi chote kuelekea uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Jumuiya hiyo, pia imetaka Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kuhakikisha inasimamia haki katika mchakato mzima…

Read More

Kuna nini bungeni? | Mwananchi

Dar es Salaam. Makada 5,475 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kuomba ridhaa ya chama kuteuliwa kuwania nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, ukiacha wanachama wa vyama vya upinzani. Idadi hiyo haijapishana sana na mwaka 2020, ambapo makada 10,367 walijitokeza kuwania nafasi 358 za ubunge wa majimbo na…

Read More