CCM yaonya vikao vya mchujo, teuzi

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa maagizo kwa kamati za siasa za chama hicho kutenda haki na wasionee watu katika vikao vya mchakato wa mchujo kwa watia nia waliomba kugombea udiwani na ubunge ili kupunguza malalamiko na manung’uniko. Chama hicho kimetoa maagizo hayo siku moja baada ya kufungwa kwa dirisha la uchukuaji na…

Read More

CCM yavuna Sh3.5 bilioni za fomu ubunge, udiwani

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejikusanyia zaidi ya Sh3.5 bilioni kutoka kwa watia nia wa udiwani, wabunge na uwakilishi katika kinyany’anyiro cha kupata fursa za kukiwakilisha kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Leo Alhamisi, Julai 3, 2025 katika ofisi ndogo za CCM jijini Dar es Salaam, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafuzo wa…

Read More

Uchaguzi TFF wapingwa BMT | Mwanaspoti

WAKATI usaili wa wagombea 25 waliojitokeza kuwania nafasi za kuliongoza Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ukifanyika jana uchaguzi huo umepingwa katika ofisi za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) baada ya mawakili watano kuandika barua ya kutaka usifanyike kwa madai ya kukiukwa kwa taratibu. …

Read More

Miaka 10 ya Majaliwa ilivyoonyesha upekee

Dar es Salaam. Miaka 10 ya Kassim Majaliwa kama Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa ya kipekee machoni mwa Watanzania, kuanzia kwenye uteuzi wake hadi sasa anapoondoka katika ofisi hiyo. Pia, utendaji wake katika kipindi hicho umempambanua kama kiongozi anayetaka kuona matokeo na amepambana kuhakikisha wabadhirifu wa mali za umma na wazembe…

Read More

Mushi mzuka mwingi ufungaji pointi kikapu

BAADA ya Jonas Mushi kutoka timu ya Stein Warriors kushika nafasi sita katika ufungaji wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ametamba kurudi katika nafasi yake ya kwanza aliyoizoea. Mushi aliyewahi kuwa mfungaji bora katika mashindano ya kanda ya tano ya Afrika, ameshika nafasi hiyo baada ya kufunga pointi 128. Kwa mujibu…

Read More

Miradi ya maendeleo yaahirisha Tamasha la Kizimkazi

Unguja. Tamasha la Kizimkazi limeahirishwa sababu kubwa ikitajwa ni kukosekana kwa miradi ambayo itafunguliwa wakati wa tamasha hilo. Kwa mujibu wa taarifa iliyokuwa imetolewa awali Juni 15 mwaka huu,  tamasha hilo la 10 lilitarajiwa kuanza Julai 19 hadi 26 mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 3, 2025 Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja,…

Read More

MAWAKILI NCHINI WATAKIWA KWENDA KUZISOMA SHERIA ZA UCHAGUZI MKUU

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mawakili Nchini Tanzania wametakiwa kwenda kuzisoma sheria za Uchaguzi Mkuu, ili waweze kuwasaidia kujaza fomu wagombea waliojitokeza kutia nia, lakini pia kutatua migogoro itakayowasilishwa kwa kukosa uelewa katika Mahakama mbalimbali hapa nchini. Jaji Mkuu wa Tanzania ,George Masaju ameyazungumza hayo leo jijini Dodoma wakati akiwathibitisha na kuwapokea Mawakili 449 wakiwemo…

Read More