UCHAMBUZI WA MJEMA: Sababu 10 za ‘kibongo bongo’ kwanini asilimia 50 ya wabunge hawatarudi 2025

Spika wa Bunge la 12 ambalo limefikia ukingoni, Dk Tulia Ackson anasema tathmini inaonyesha kila bunge linapovunjwa na kuingia kwenye uchaguzi mkuu wa Rais,wabunge na madiwani, asilimia 50 ya wabunge huwa hawarudi bungeni. Ingawa Spika anasema tathmini inaonyesha ni asilimia 50 hivi, lakini tathmini nyingine huru zinaonyesha ni kati ya asilimia 50 hadi 60 huwa…

Read More

Hatua muhimu ya kujenga uaminifu katika ushirikiano wa ulimwengu – maswala ya ulimwengu

Wanaharakati, wengi kutoka Global South, wanaohudhuria mazungumzo huko Uhispania, wanatoa wito kwa uongozi mkubwa na kujitolea kutoka kwa mataifa tajiri kusaidia kushughulikia usawa wa muundo wa muda mrefu. 4th Mkutano wa Kimataifa juu ya Ufadhili wa Maendeleo (FFD4) hubeba uzito mkubwa wa mfano, ulioonyeshwa kwenye Vipaumbele vilivyokubaliwa vya kujitolea kwa Sevilla. Miji ya United na…

Read More

Ligi Shinyanga inaanza upyaaa | Mwanaspoti

LIGI ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Shinyanga inatarajia kuendelea Jumapili, kwa mchezo kati ya timu ya B4 Mwadui na Risasi. Mchezo huo wa Ligi ya Mkoa, utafanyika kwenye Uwanja wa Risasi. Kamishna wa ufundi  na mashindano  wa Ligi hiyo George Simba, amesema Ligi ya mkoa huo  ilisimama kupisha mashindano ya Kombe la Taifa. …

Read More

Watia nia, wajumbe CCM waonywa

Mwanza. Baada ya kukamilika kwa mchakato wa uchukuaji fomu za kuomba ridhaa ya kugombea nafasi mbalimbali ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, watia nia wametakiwa kuwa watulivu, huku wanachama, wakihimizwa kusubiri maelekezo ya chama. Mchakato wa kuchukua fomu ulifungwa rasmi jana Julai 2, 2025. Kuanzia Julai 4 hadi 29,…

Read More

Masaju aonya mawakili wanaouza haki za wateja

Dodoma. Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju amewaonya mawakili nchini wenye tabia za kuuza haki za wateja wao kuacha kufanya hivyo, kwa sababu hawatakuwa salama katika maisha yao. Akizungumza leo Alhamis Julai 3, 2025 wakati wa shughuli ya kupokea mawakili 449, Jaji Mkuu Masaju pia, amewataka mawakili hao kuacha tabia ya kupenda kuishi kwenye miji…

Read More