Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa-4

Dar es Salaam. Jana katika mwendelezo wa simulizi ya hukumu ya kunyongwa kwa polisi wawili kati ya saba mkoani Mtwara waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya muuza madini, tuliishia Mahakama ikikamilisha usikilizaji wa ushahidi wa pande zote. Watu saba walishtakiwa kwa kosa moja la kumuua kwa makusudi, mfanyabiashara wa madini, mazao ya biashara na…

Read More

Umuhimu wa mshikamano wa kijamii katika Uislamu

Uislamu unahimiza kusaidiana na kushirikiana ili kujenga jamii yenye huruma, haki na mshikamano wa kweli. Hakika, haifichiki kwa mwenye akili timamu kwamba jamii inayojengwa juu ya ushirikiano na mshikamano, yenye mapenzi ya kipaumbele na undugu miongoni mwa watu wake, huwa ni jamii imara, iliyostawi na iliyojengeka. Jamii ya aina hii haiwezi kubomolewa na yeyote, wala…

Read More

RC KILIMANJARO AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MIILI YA WATU 32 KATI YA 42 WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA SAME.

Na Linda Akyoo-Kilimanjaro. Miili 32 iliyochukuliwa vina saba katika hospitali ya Kanda ya KCMC kufuatia ajali ya basi la Kampuni ya Chanel One na Coaster kugongana na kuwaka moto Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro inakabidhiwa kwa ndugu wa marehemu huku miili mingine miwili zoezi la kuchukua vinasaba linaendelea na miili hiyo itakabidhiwa kwa ndugu baadaa…

Read More

TIA kuwaombea wanafunzi wake mikopo asilimia 10

Dar es Salaam. Wakati mikopo ya asilimia 10 inayotolewa kwa vijana, wanawake na wenye ulemavu ikianza kutolewa kupitia benki, Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) kimesema kipo katika mazungumzo na mamlaka za Serikali za mitaa ili wanafunzi wake waweze kukopeshwa. Hiyo ni baada ya chuo hicho kuwa tayari kubeba dhamana ya wanafunzi watakaokuwa wanakopa, kikilenga kuwawezesha…

Read More