TIMU ZA KAKOLA NA NG’WASABUKA ZATINGA FAINALI LIGI YA MAHUSIANO YA BARRICK BULYANHULU

Wachezaji wa timu ya Ng’wasabuka na Busindi wakiwania Mpira wakati Mechi ikiendeleaWachezaji wa timu ya Ng’wasabuka na Busindi wakiwania Mpira wakati Mechi ikiendeleaWachezaji wa timu ya Ng’wasabuka na Busindi wakiwania Mpira wakati Mechi ikiendeleaWachezaji wa timu ya Ng’wasabuka na Busindi wakiwania Mpira wakati Mechi ikiendeleaWachezaji wa timu ya Ng’wasabuka na Busindi wakiwania Mpira wakati Mechi…

Read More

FAHAD AJITOSA UBUNGE SHINYANGA MJINI KUPITIA CCM

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Fahad Gulamhafiz Mukadam akionesha fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Mtoto wa mwanasiasa mkongwe na Meya mstaafu wa Manispaa ya Shinyanga, Mzee Gulamhafiz Mukadam, bwana Fahad Gulamhafiz Mukadam, ameibuka hadharani na kutangaza rasmi nia…

Read More

JUMBE AREJESHA FOMU YA UBUNGE SHINYANGA MJINI

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi James Jumbe Wiswa leo Julai 2, 2025 amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea Ubunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akizungumza mara baada ya kurejesha fomu katika ofisi za CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Mhandisi Wiswa amesema zoezi…

Read More

ETDCO YAONYESHA UTEKELEZAJI WA MRADI YA UMEME SABASABA

Mhandisi Mkuu wa Kampuni ya Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) Mustapha Himba (kulia) akitoa ufafanuzi wa utekelezaji wa miradi ya umeme kwa wananachi waliotembelea leo julai 2, 2025 katika banda la Kampuni hiyo katika  Maonesho  ya 49 ya Kimataifa ya Biashara sabasaba  katika Viwanja vya  Julius…

Read More

Wakulima waomba mbegu bora kufungua soko la mchele kimataifa

Morogoro. Wakati Serikali ikiendelea kuimarisha na kuongeza maeneo ya umwagiliaji, wakulima wa mpunga nchini wameiomba kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa mbegu bora kwa gharama nafuu ili kuongeza tija na kuwezesha mchele wa Tanzania kuingia kwenye soko la kimataifa kwa ushindani. Wameeleza kuwa bila kuimarishwa kwa vyanzo vya uhakika vya mbegu zenye kustahimili magonjwa na mabadiliko…

Read More

ACT Wazalendo: Kukosa nguvu ya kuamua kiongozi ni utumwa

Kasulu. Chama cha ACT Wazalendo kimesema thamani ya raia ipo kwenye nguvu ya kuamua nani awe kiongozi wake, ikitokea amepokwa haki hiyo anabaki kuwa mtumwa ndani ya Taifa lake. Kwa mujibu wa chama hicho, hatua ya raia kupokwa haki hiyo kunasababisha waongozwe na viongozi wasiowataka, hali inayosababisha wengi wakose ari ya kushiriki michakato ya uchaguzi….

Read More