Majaliwa aliwaweka matumbo joto wazembe na wabadhirifu

Dodoma. Wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitangaza kuwa hatagombea tena kiti cha ubunge, aliwaweka matumbo  joto wazembe na ubadhirifu. Uamuzi wa Majaliwa kutogombea umetangazwa leo Jumatano, Julai 2,2025 zikiwa zimepita siku saba tangu ahutubie hotuba yake ya mwisho kwa wabunge akiwaomba wananchi wa Ruangwa kujiandaa akisema anakwenda kuchukua fomu. Kutogombea ubunge kutahitimisha his-toria ya Majaliwa…

Read More

Latra yawaweka njiapanda watoa huduma tiketi mtandaoni

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) imeweka bayana hatima ya watoa huduma wa mifumo ya tiketi mtandao kwa kuwagawanya katika makundi kulingana na hatua ya utekelezaji wa masharti ya kisheria. Kwa mujibu wa Kanuni za Tiketi Mtandao za mwaka 2024 zilizotangazwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 20 la Desemba 1, 2024, mifumo…

Read More

Majaliwa aacha maswali matatu | Mwananchi

Dar/Lindi. Nini kimetokea hadi Kassim Majaliwa kutangaza hagombei tena ubunge wa Ruangwa, je nani atakuwa Waziri Mkuu wa 11 na yeye atafanya nini? Haya ni baadhi ya maswali ambayo yameibuka saa chache baada ya Waziri Mkuu, Majaliwa kutangaza uamuzi wa kujiweka kando na mbio za ubunge katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Saa 10:00 jioni…

Read More

Benard Mwakyembe ajitosa Ubunge Temeke

IKIWA leo ndiyo siku ya mwisho ya watia nia ya ubunge na udiwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu , Kada wa Chama Benard Mwakyembe, amerejesha fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge katika Jimbo la Temeke. Mwakyembe ambaye aliwahi kuwa Diwani wa Kata ya Mtoni wilayani Temeke, mkoani Dar es Salaam, alirejesha fomu hiyo…

Read More

Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa– 3

Dar es Salaam. Jana simulizi hii iliishia Gilbert Kalanje aliyekuwa Mrakibu wa Polisi na Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Mtwara, akimtaka Mkaguzi na Mganga Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara,  John Msuya awasaidie kumuua Mussa Hamis kwa kumdunga sindano ya sumu, akidai hataki kutoa taarifa za uhalifu wa wizi wa pikipiki unaofanyika mikoa ya…

Read More

MTENDAJI MKUU ADEM ASISITIZA UMUHIMU WA MAAFISA ELIMU KATA NCHINI KUJENGEWA UWEZO KUHUSU USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA ELIMU

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt. Maulid J. Maulid, ameeleza Maafisa Elimu Kata wanawajibika kusimamia shughuli za elimu kwenye ngazi ya Kata, hivyo ni muhimu Maafisa hao kujengewa uwezo kuhusu usimamizi fanisi wa shughuli za elimu ili kuchagiza maendeleo ya sekta ya elimu katika ngazi ya Kata. Kauli hiyo…

Read More