Gwajima aingia mitini jimbo la Kawe

Dar es Salaam. Wakati uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuomba ridhaa ya kuwania ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) ukitamatika leo, Julai 2, 2025, mbunge wa Kawe anayemaliza muda wake, Joseph Gwajima, si miongoni mwa walioomba ridhaa hiyo. Gwajima, aliyeliongoza jimbo hilo kuanzia mwaka 2020 hadi…

Read More

Mahakama yabatilisha hukumu aliyemuua mkewe, mtoto

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha mwenendo wa kesi na kufuta hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amehukumiwa Omary Matonya baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, Moshi Daudi na mtoto wao, Mohamed Omary. Upande wa mashitaka uliieleza mahakama kuwa Omary alimchinja mkewe na mtoto huyo akidai kuwa mkewe alikuwa na mahusiano na kaka yake…

Read More

RC Ruvuma atoa maelekezo kukamilika stendi ya Lundusi

Songea. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas amewaagiza viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea kuimarisha ulinzi na utunzaji wa miundombinu ya stendi ya kisasa ya mabasi ya Lundusi. Ujenzi wa stendi hiyo umegharimu zaidi ya Sh686.3 milioni. Kanali amesema maagizo hayo yanalenga kuhakikisha mradi huo unaleta tija kwa wananchi kwa kuondoa kero…

Read More

Prisons: Tukutane msimu ujao muone!

‘TUKUTANE msimu ujao’. Ni kauli ya kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah akielezea furaha yake kuibakiza timu hiyo Ligi Kuu, akibainisha kuwa nyota wake na uongozi umempa heshima. Josiah ambaye ilikuwa msimu wake wa kwanza kufundisha timu ya Ligi Kuu, amesubiri hadi mchezo wa mwisho wa play off dhidi ya Fountain Gate na kujihakikishia…

Read More

Mtibwa yampigia hesabu Dante | Mwanaspoti

MTIBWA Sugar imerejea Ligi Kuu Bara, ikiwa na moto ikianza kupiga hesabu za maana kwa upande wa usajili ikisuka jeshi lake litakalowabakisha wasishuke. Kikosi hicho kinapiga hesabu nzito za kuongeza timu kwa ajili ya mashindano ya msimu ujao, huku ikigoma kuacha asili yake kwa kuwatumia vijana wengi inaowazalisha. Ndio maana kwa sasa inataka kumrudisha beki…

Read More

Namna ya kulikwepa jinamizi la ajali za barabarani

Dar es Salaam. Wakati jinamizi la ajali likiendelea kutafuna roho za ndugu zetu barabarani, wadau wa usalama wameshauri usimamizi wa sheria, elimu, ukaguzi zaidi wa vyombo vya moto na madereva ufanyike kwa mkazo. Kila mtu akitimiza wajibu wake barabarani basi tutamaliza kama siyo kupunguza kabisa ajali hizo ambazo zinasababisha vifo, majeruhi, uharibifu wa mali pamoja…

Read More

Uongozi wa Birdi mbio za magari hatarini

UONGOZI wa Manveer Birdi katika mbio za kusaka taji la taifa la ubingwa wa mbio za magari umepata tishio jipya baada ya kushindwa kumaliza mashindano ya mbio za magari ya Dar es Salaam mwishoni mwa juma. Kwa sasa, Gurpal Sandhu wa Arusha ndiye anayeongoza msimamo wa jumla kwa kuwa na pointi 52. Kutokana na Birdi…

Read More