DPP amfutia kesi raia wa Uturuki, Polisi yamdaka tena

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) amemfutia kesi raia wa Uturuki, Ugur Gurses, aliyekuwa anakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu zaidi ya Sh328 milioni. Gurses ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya ujenzi ya Adamas Conglomerates Company Limited, anadaiwa kujipatia fedha hizo kwa madai kampuni yake imesajiliwa na…

Read More

Mashujaa, Kagera zamfuatilia Kabunda | Mwanaspoti

KLABU ya Mashujaa na Kagera Sugar iliyoshuka daraja rasmi zimeanza kumfuatilia mshambuliaji wa Namungo, Hassan Kabunda. Mshambuliaji huyo alisajiliwa Namungo msimu nwa 2022/23 akitokea KMC na alishawahi kucheza Mwadui FC ya Shinyanga. Taarifa ilizopata Mwanaspoti ni kuwa Kabunda amemaliza mkataba wa miaka mitatu na Namungo lakini Mashujaa na Kagera zinamfuatilia kwa ukaribu kupata saini yake….

Read More

PROF. PALLANGYO AIPONGEZA PPAA KUANZA MATUMIZI YA MODULI

Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Prof. William Pallangyo akipata maelezo kuhusu matumizi ya Moduli ya kupokea na kushughulikia Malalamiko na Rufaa katika mfumo wa NeST kutoka kwa Afisa Mwandamizi wa PPAA, Bw. Stanley Jackson wakati wa Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam :::::: Na Mwandishi wetu,…

Read More

Zanzibar kuwakutanisha wadau kujadili Kiswahili

Unguja. Wakati Julai saba ikitarajiwa kufanyika maadhimisho ya Kiswahili duniani, Zanzibar imejipanga kuadhimisha siku hiyo kuanzia Julai 5, kwa kufanya shughuli mbalimbali zinazohusiana na Kiswahili ambapo wadau na wananchi wameitwa kushiriki, ili kupata taaluma ya lugha hiyo. Novemba 23, 2021, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) lilitangaza na kukiwekea Kiswahili…

Read More

MAKAMU WA RAIS AONGOZA JUKWAA LA BIASHARA LA TANZANIA NA WAFANYABISHARA WA UHISPANIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Wafanyabiashara na Wawekezaji mbalimbali wa Uhispania katika Jukwaa la Biashara la Tanzania na Wafanyabiashara wa Uhispania lililofanyika Jijini Sevilla nchini Uhispania leo tarehe 02 Julai 2025. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana…

Read More