Kijana abuni mashine ya kumwagilia dawa shambani

Dar es Salaam. Kijana Innocent Mabilika (25) amebuni mashine inayoweza kuwasaidia wakulima kupulizia dawa za kuua wadudu katika mashamba yao kwa urahisi na gharama nafuu. Mabilika ambaye hajasomea ubunifu huo, amesema hayo leo Julai 2, 2025 alipozungumza na Mwananchi katika Maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ua Dar es Salaam (DITF) maarufu Sabasaba yanayoendelea…

Read More

Mabaraza ya Habari Afrika kukutana Arusha

Arusha. Tanzania inajiandaa kuwa mwenyeji wa mkutano wa pili wa mabaraza ya Habari Afrika 2025, ulioandaliwa na Mtandao wa Mabaraza Huru ya Habari Afrika (NIMCA) kwa kushirikiana na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Mkutano huo wa siku tatu utaanza Julai 14 hadi 17,2025 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC), ambapo Makamu wa Rais,…

Read More

Nafasi ya Kuondoka na Samsung A25 Unayo Leo

  HABARI njema kwako mteja wa Meridianbet, huu ni mwezi mpya wa 7 ambapo unaeza ukawa na bahati ya kuondoka na simu janja aina ya Samsung A25 ukibashiri mechi zozote kwenye ligi yoyote na kujiweka kwenye nafasi ya ushindi. Promosheni hii ya kushindania simu moja kati ya nane imeanza hapo jana tarehe 1 Julai na itaenda…

Read More

Senene kutegwa na mashine | Mwananchi

Dodoma. Wazalishaji wa senene mkoani Kagera wanatarajiwa kuanza kutumia mashine maalumu za wadudu hao mara baada ya kukamilika kwa utafiti, kwa lengo la kuongeza ufanisi katika uzalishaji. Hayo yamesemwa jana Julai Mosi, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwasa wakati akielezea mafanikio ya minne ya  Serikali ya awamu ya sita. Mwasa amesema kuwa…

Read More

Wateja benki zilizofungwa walipwa Sh9.07 bilioni

Dar es Salaam. Zaidi ya Sh9.07 bilioni zimelipwa kwa wateja waliokuwa na amana katika benki saba zilizofungwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kufuatia kufilisika kwa taasisi hizo za kifedha. Fedha hizo zimetolewa tangu Bodi ya Bima ya Amana (Deposit Insurance Board – DIB) ilipoanza rasmi utekelezaji wa majukumu yake mwaka 1994 hadi kufikia Machi…

Read More

Dk Mwinyi kuzindua Maonyesho ya Sabasaba

Dar es Salaam.   Tofauti na miaka ya nyuma, Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) yalikuwa yakizinduliwa tarehe za mwanzo Julai, mwaka huu ni tofauti kwa kuwa, uzinduzi rasmi utafanyika siku ya kilele cha Sabasaba. Huu ni mwendelezo wa upekee huku ndani yake ukifanyika uzinduzi wa nembo ya ‘Made in Tanzania’ inayotajwa…

Read More

Mawaziri wa Kikwete, JPM wanavyopambana kurejea mjengoni

Dar es Salaam. Ukiacha makundi ya vijana, wanazuoni, watumishi wa umma na wanataaluma mbalimbali, uchukuaji fomu za ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), umewaibua mawaziri kadhaa ambao pengine walishasahaulika katika medani za siasa. Unaweza kusema kuwa mchakato huo umeamsha hamu ya viongozi hao wengi waliowahi kuhudumu katika wizara kadhaa, katika awamu mbalimbali za Serikali hasa…

Read More