Mtego wa senene kukuza kipato

Dar es Salaam Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) imetengeneza mashine rafiki kwa mazingira ya kuvunia senene, wadudu wanaothaminiwa na kabila la Wahaya mkoani Kagera, lengo likiwa ni kukuza ajira hasa kwa vijana. Imeelezwa kuwa, mbinu za jadi zinazotumiwa na jamii za eneo hilo hasa Wahaya zimepitwa na wakati kwa kuwa, husababisha…

Read More

Ibenge aaga rasmi Al Hilal, njia nyeupe Azam FC

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Al Hilal Omdurman ya Sudan, Florent Ibenge amewashukuru wafanyakazi, wachezaji, watendaji, mashabiki na watu wote wa Sudan kwa kipindi cha miaka mitatu aliyofanya nao kazi, huku akiwaambia atabaki katika mioyo yao. Hatua ya kocha huyo kuaga inajiri baada ya jana Mtendaji Mkuu wa Al Hilal, Hassan Ali Issa kueleza  wamefikia uamuzi…

Read More

Vifo vyafikia 42 ajali ya Same

Moshi. Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na ajali ya kugongana uso kwa uso kwa magari mawili katika Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, imeongezeka na kufikia 42. Majeruhi wawili wa ajali hiyo bado wanaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, baada ya wengine 24 kuruhusiwa. Ajali hiyo ilitokea Juni 28, 2025, katika eneo…

Read More

UN inakaa na kutoa – maswala ya ulimwengu

“Katika masaa ya asubuhi ya 13 Juni, mashambulio kadhaa yalifanyika huko Tehran, na sehemu zingine za Irani,” Stefan Priesner, mratibu wa mkazi wa UN nchini Iran. “Halafu kwa siku 12 zijazo kulikuwa na mashambulio kadhaa kwa kila upande … tunajua kuwa kumekuwa na watu wasiopungua 627 kuuawa na karibu 5,000 kujeruhiwa nchini Iran. Akisisitiza kwamba…

Read More

Majaliwa atoa kauli ubunge wa Ruangwa

Waziri Mkuu wa Tanzania na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa leo Jumatano, Julai 2, 2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa Ruangwa baada ya kulitumikia jimbo hilo kwa miaka 15. Akizungumza na wajumbe wa kamati za siasa ya mkoa na Wilaya ya Ruangwa leo Jumatano, Julai 2, 2025, Majaliwa ametumia fursa hiyo kuwashukuru wananchi kwa…

Read More

Hatma ya kina Mayay, Dk Msolla kujulikana leo

MCHAKATO wa Uchaguzi Mkuu wa TFF unaendelea kwa leo kuingia hatua ya usaili ambapo hatma ya wagombea 25 waliojitokeza kuchukua na kurudisha fomu inatarajiwa kufahamika baada usaili huo ulioanza tangu asubuhi ya leo jijini Dar es Salaam. Wagombea sita wa nafasi ya Urais akiwamo anayetetea kiti, Wallace Karia, Ally Mayay, Dk Mshindo Msolla, Injinia Mustapha…

Read More

CCM Ruangwa: Majaliwa hatogombea tena ubunge

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa hatogombea tena ubunge wa Ruangwa, Mkoa wa Lindi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2025. Dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu CCM za udiwani na ubunge lilifunguliwa kuanzia Juni 28, 2025 na linafungwa saa 10:00 jioni ya leo Jumatano, Julai 2025. Uamuzi wa Majaliwa umetangazwa leo Jumatano…

Read More