Aucho afurahia kutangaza ubingwa mbele ya Simba

KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho amesema kitu kilichomfurahisha zaidi kwa msimu ulioisha ni kitendo cha kunyakua taji la ubingwa wa Ligi Kuu Bara mbele ya Simba, jambo lililodhihirisha ubora wao. Aucho ambaye msimu wa 2023/24 alicheza mechi 20 kwa dakika 1629 na kutoa asisti mbili, na 2024/25 amefunga bao moja  dhidi ya Mashujaa Yanga iliposhinda…

Read More

Makwetta: Majaliwa hatogombea tena ubunge Ruangwa

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa hatogombea tena ubunge wa Ruangwa, Mkoa wa Lindi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2025. Dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu CCM za udiwani na ubunge lilifunguliwa kuanzia Juni 28, 2025 na linafungwa saa 10:00 jioni ya leo Jumatano, Julai 2025. Uamuzi wa Majaliwa umetangazwa leo Jumatano…

Read More

Majaliwa: Sitagombea tena ubunge Ruangwa

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametangaza hatogombea tena ubunge wa Ruangwa, Mkoa wa Lindi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2025. Dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu CCM za udiwani na ubunge lilifunguliwa kuanzia Juni 28, 2025 na linafungwa saa 10:00 jioni ya leo Jumatano, Julai 2025. Uamuzi wa Majaliwa umetangazwa leo…

Read More

Kauli ya ‘mwanamme suruali’ ilivyosababisha mauaji

Tabora. Ni kweli ndoa inahitaji uvumilivu lakini kuna maneno ukimtamkia mumeo yanaweza yasikuache salama, hiki ndicho kilichotokea, baada ya mume kumuua mkewe bila kukusudia baada ya kuitwa mwanamume suruali. Kauli hii ilikuja baada ya mume kubembeleza apewe tendo la ndoa alilokuwa amenyimwa kwa miaka miwili na mkewe, na siku hiyo alikuwa ameahidiwa kupewa lakini wakati…

Read More

Fyatu kutoa gari kwa kila mpika kura ya kula

Kama mjuavyo, uchakachuaji, sorry, uchaguzi mkubwa umekaribia, na ninagombea urahis na lazima nitashinda hata kama ni kwa goli la mkono kama lile na Mapepe Tunaye. Hivyo, kwa vile mie ni muwazi, naweka wazi mikakati na ukarabati wa kushinda hii kitu mapema asubuhi kama ifuatavyo: Mosi, kuanzia sasa, nitamwaga ndinga kali na za bei mbaya za…

Read More