Wasio tayari wang’atuliwe | Mwananchi

Kwa asilimia kubwa, akili za wabongo ni kama za kushikiwa. Kila siku benki zinatoa elimu, matangazo na ofa ili kuwahamasisha watu kujiwekea akiba. Lakini wabongo wanazikimbia benki hizo na kwenda kuwekeza kwenye “michezo” ya vijumbe mtaani. Wanapodhulumiwa ndipo wanapojikusanya na kuanza kupiga mayowe na kulalamika kwa watu ambao hawawezi kuwasaidia kwa lolote. Wabongo hushindwa kuyaratibu…

Read More

Samia anastahili shukrani hotuba ya kulivunja Bunge la 12

Nilisikiliza hotuba ya Rais Samia aliyotoa bungeni ile siku alipozindua rasmi utawala wake wa Awamu ya Sita, na pia nikaisikiliza tena juzi Ijumaa alipolivunja Bunge kuhitimisha nusu ya kwanza ya awamu yake. Nikitumia tafakuri ya kina na uchambuzi wa makini, kiukweli kabisa Rais Samia anastahili pongezi na shukrani zake stahiki, kwa maneno mengine, apewe maua…

Read More

Azam FC yaja na mbadala wa Gibril Sillah

BAADA ya kiungo wa Azam FC, Gibril Sillah kuaga kwenye timu hiyo mabosi wake wa zamani tayari wameshaweka sawa nani atakuwa mbadala wake. Kiungo huyo ambaye aliitumikia Azam ndani ya misimu miwili, majuzi aliandika waraka wa kuagana na timu hiyo, huku taarifa zikidai kuwa anaweza kuibukia kwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga. Sillah alikuwa…

Read More

Pacome ampindua Ahoua, malijendi wafunguka

KUNA mambo yanaendelea baada ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika, ambapo nyuma ya pazia vigogo wa timu wameanza kujifungia ili kukamilisha dili za wachezaji wapya na kupanga namna maisha yatakavyokuwa msimu ujao kwenye mashindano mbalimbali. Ishu ya kupanga maisha ya msimu ujao inapoendelea katika kila timu itakayoshiriki ligi hiyo na zile za chini, bado…

Read More

VETA YALETA NEEMA KWA WAFANYAKAZI MAJUMBANI

*Wafanyakazi 700 wapata mafunzo vyuo vya VETA Na Mwandishi Wetu Wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo maalum na kutunukiwa vyeti na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), kwa lengo la kuwawezesha kupata ujuzi mahususi kwa kazi zao. Muwezeshaji wa mradi huo, Debora Mwageni amessema mafunzo hayo yanamwezesha mfanyakazi wa ndani kuwa na…

Read More

Usawa wa kijinsia katika nchi zinazoendelea zinazofadhiliwa na dola bilioni 420 kila mwaka – maswala ya ulimwengu

“Pesa sio kuwafikia wanawake na wasichana wanaohitaji sana,” Wanawake wa UN Alisema katika taarifa ya habari iliyotolewa Jumatatu. Makisio haya yanakuja katikati ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Fedha kwa Maendeleo unaendelea huko Sevilla, Uhispania. Huko, viongozi wa ulimwengu wanafanya kazi kurekebisha muundo wa kifedha wa kimataifa ili kuunga mkono vyema Malengo endelevu ya…

Read More

Pacome alivyomtesa Ahoua | Mwanaspoti

KUNA mambo yanaendelea baada ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika, ambapo nyuma ya pazia vigogo wa timu wameanza kujifungia ili kukamilisha dili za wachezaji wapya na kupanga namna maisha yatakavyokuwa msimu ujao kwenye mashindano mbalimbali. Ishu ya kupanga maisha ya msimu ujao inapoendelea katika kila timu itakayoshiriki ligi hiyo na zile za chini, bado…

Read More

Simba yakomaa na kiungo CS Sfaxen

WEKUNDU wa Msimbazi wamekosa kila kitu msimu huu katika mashindano ndani ya nchi, ambapo katika michuano yote wamepishana kidogo na makombe, kwani Ligi Kuu Bara wangeshinda mechi ya mwisho basi muda huu shamrashamra zingekuwa katika Mtaa ya Msimbazi, Dar es Salaam. Vivyo hivyo pia wiwapo chama hilo la kiungo Elie Mpanzu na Jean Charles Ahoua…

Read More