Makombe matatu yawagawa mabosi Yanga

ULILIONA vaibu la Yanga juzi kuanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere pale Dar? Je unajua lile vaibu lilitokana na nini? Kina nani walioteka ile shoo? Sikia, achana na mambo mengine yooote yaliyokuwa yakiendelea, lakini kwa mashabiki wa timu hiyo ilikuwa ni zaidi na sherehe na wachezaji wao kutokana na kufanikiwa kubeba makombe…

Read More

Uhispania na Brazil kushinikiza hatua za ulimwengu kulipa ushuru wa hali ya juu na kukosesha-maswala ya ulimwengu

Iliyowasilishwa wakati wa UN’s Mkutano wa 4 wa Kimataifa juu ya Ufadhili wa MaendeleoT, inafanyika wiki hii huko Sevilla, pendekezo linaonyesha shida inayokua: watu tajiri mara nyingi huchangia kidogo kwa fedha za umma kuliko walipa kodi wa kawaida, shukrani kwa viwango vya chini vya ushuru na mianya ya kisheria. “Nchi zetu zinahitaji mapato zaidi na…

Read More

Mashirika yasio ya kiserikali Tanga yatakiwa kuboresha miradi

Tanga. Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Dadi Kolimba, ameyataka mashirika yasio ya kiserikali wilayani humo kuhakikisha miradi yote ambayo wanaianzisha inaleta manufaa kwenye jamii na kuwa endelevu. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa miradi saba ya maendeleo itakayosimamiwa na Shirika lisilo la kiserikali la Tanga Yetu leo Jumanne Julai Mosi, 2025 jijini Tanga, Kolimba amesema miradi…

Read More

Majimbo yenye ushindani CCM | Mwananchi

Dar es Salaam. Ikiwa imebaki siku moja kukamilika kwa mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania ubunge ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ushindani mkali unatarajiwa kwenye kura za maoni katika baadhi ya majimbo yaliyowakutanisha makada wenye nguvu. Umaarufu, mvuto kwa wananchi na uzoefu wa muda mrefu ni miongoni mwa sifa zitakazowabeba baadhi…

Read More

Walimu, wafanyakazi shule ya CCM watishia kuacha kazi

Mbeya. Hali ya taharuki na sintofahamu imetokea katika Shule ya Sekondari Ivumwe baada ya watumishi zaidi ya 40 kutishia kugoma wakipinga kuondolewa kwa Mkuu wa shule hiyo, Oscar Mwaihabi. Kufuatia mvutano huo, Jeshi la Polisi lilifika shuleni hapo ili kuhakikisha ulinzi na usalama wakati kikao cha Jumuiya ya Wazazi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na…

Read More