Wanafunzi wawili wafariki kwa kufukiwa na kifusi

Dodoma. Wanafunzi wawili wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Mbalawala jijini Dodoma wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya kufukiwa na kifusi cha mchanga wakati wakichimba mchanga Mbalawala jijini Dodoma. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa CCM wa Kata ya Mbalawala, Athanas Sajilo, waliofariki ni Oscar Richard (19) na Andrea Chibago (19) huku…

Read More

π—ͺπ—œπ—­π—”π—₯𝗔 𝗬𝗔 π—˜π—Ÿπ—œπ— π—¨ π—¬π—”π—§π—˜π—§π—” 𝗑𝗔 π—¨π—’π—‘π—šπ—’π—­π—œ 𝗠𝗣𝗬𝗔 π—§π—”π— π—’π—‘π—šπ—¦π—–π—’

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Daniel Mushi, leo tarehe 1 Julai 2025, amekutana na uongozi mpya wa Wamiliki wa Shule na Vyuo Binafsi Tanzania (TAMONGSCO), katika ofisi za Wizara hiyo jijini Dodoma. Uongozi huo umefika kujitambulisha rasmi baada ya kuchaguliwa upya, na pia kuonesha dhamira ya kushirikiana na Serikali…

Read More

: RC atoa maagizo kamatiΒ ya usalama Kahama

Shinyanga. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita ametoa maagizo kwa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Kahama, kutoa ushirikiano kwa Mkuu mpya wa Wilaya ya Kahama, Frank Mkinda kama waliokuwa wakimpa pamoja na kusikiliza kero za wananchi. Akizungumza leo Julai 01, 2025 katika hafla fupi ya uapisho wa Mkinda iliyofanyika ofisini kwake.Kwa…

Read More

Fanya haya unapomwandaa mtoto anayesoma maeneo yenye baridi

Dar es Salaam. Wakati likizo ikiwa inaelekea ukingoni, wadau wa afya na elimu wameainisha mambo muhimu ya kufanya unapomwandaa mtoto kurudi masomoni, hasa wale wanaosoma maeneo yenye baridi kali, huku wakitoa ushauri kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Uchaguzi wa mavazi ya kumkinga na baridi, afya na kinga ni mambo yaliyotajwa kuzingatiwa na mzazi…

Read More

WIZARA YA FEDHA YARAHISISHA UPATIKANAJI WA TAARIFA ZAKE

Na. Peter Haule na Chedaiwe Msuya, WF, Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kutumia taarifa zinazotolewa na Wizara ya Fedha kupitia njia mbalimbali za mawasiliano ili kupata taarifa mbalimbali za uchumi na fedha kwa lengo la kuawasidia kupata ufahamu na maarifa katika kukabiliana na changamoto za kiuchimi. Hayo yamesemwa na Afisa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano…

Read More

RC KILIMANJARO AZINDUA TWENZETU KILELENI MSIMU WA 5

Na Pamela Mollel, Kilimanjaro Wadau wa utalii hapa Tanzania wameaswa kubuni mazao mbalimbali ya utalii ambapo mazao hayo yataweza kutangaza fursa mbalimbali zilizopo Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu wakati akizindua kampeni ya twenzetu kileleni msimu wa 5 ambayo inaandaliwa na kampuni kubwa ya utalii ya Zara tours iliopo Moshi Nurdin…

Read More

PURA, ZPRA zajivunia miaka mitatu ya mashirikiano

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara na Mamlaka ya Uthibiti, Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta Zanzibar (ZPRA) ya Zanzibar zimeeleza kujivunia mafanikio yaliyopatikana tangu taasisi hizo ziliposain Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding – MoU) mwaka 2022. Hayo yameelezwa Julai 01, 2025 Jijini Dar es Salaam katika kikao kilichohusisha…

Read More