MAJALIWA ASHIRIKI UFUNGUZI WA MKUTANO WA ACTIF 2025, GRENADA

::::: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 28, 2025 ameshiriki katika ufunguzi wa Jukwaa la nne wa Kibiashara na Uwekezaji kati ya Afrika na Karibiani (Afri-Caribbean Trade and Investment Forum – ACTIF 2025) mjini St. George’s, nchini Grenada, Julai 28,2025 ambapo alimwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mkutano huo unaolenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati…

Read More

Jaji Mwanga agoma kujitoa kesi ya Chadema

Dar es Salaam. Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, amegoma kujitoa kusikiliza kesi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali, baada ya kuzikataa hoja zote akisema si za msingi. Kabla ya kufikia hitimisho hilo, Jaji Mwanga amepangua sababu za walalamikiwa kumkataa akisema hazikidhi vigezo…

Read More

Wakati mapigano ya Gaza yanabaki kuwa rahisi, usomaji wa UN kwa mkutano karibu na Israeli-Palestina Suluhisho la Jimbo mbili-Maswala ya Ulimwenguni

“Sio mkutano wa amani,” Bob Rae, balozi wa Canada kwa UN, aliambia Habari za UN Mbele ya hafla hiyo, iliyoamriwa na Mkutano Mkuu, ambayo nchi yake itachukua jukumu kubwa. “Ni njia ya kujaribu kudumisha mjadala na kupata zaidi ya vidokezo vya kushikamana na suluhisho. Tunatumai kutakuwa na kusikiliza, na tunatumai kutakuwa na kujifunza kwa msingi…

Read More