Walichozungumza Dk Mpango, Ho Duc Phoc wa Vietnam

Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Vietnam, Ho Duc Phoc, yaliyofanyika kando ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa kuhusu Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) unaofanyika jijini Sevilla nchini Hispania. Katika mazungumzo hayo, Makamu wa Rais amesema Serikali ya Tanzania inathamini ushirikiano ulipo…

Read More

Polisi asimulia alivyopigwa na waandamanaji

Kenya. Askari Polisi wa kike aliyeonekana kwenye kipande cha video akipigwa na waandamanaji Jumatano ya Juni 25, 2025 nchini Kenya amesimulia namna alivyokumbana na kipigo hicho. Akisimulia kama alivyonukuliwa na Tuko News ya nchini humo, polisi huyo Konstebo Emily Kinya kwanza amewashukuru waandamanaji waliomuokoa kutoka kwenye kipigo kilichomsababishia majeraha mwilini. Tukio hilo lilitokea Mtaa wa…

Read More

Mbadala wa Sowah ageuka lulu sokoni

WAKATI mabosi wa Singida Black Stars wakimpigia hesabu mshambuliaji nyota wa Berekum Chelsea ya Ghana, Stephen Amankonah kwa ajili ya msimu ujao, wanatarajiwa kukutana na ushindani kutokana na timu mbalimbali zilizoonyesha nia ya kumtaka. Amankonah anahitajika Singida Black Stars kwa ajili ya kuchukua nafasi ya mshambuliaji raia mwenzake wa Ghana, Jonathan Sowah ambaye inaelezwa anaweza…

Read More

Tausi yawatia hofu vigogo | Mwanaspoti

Kama hujui Tausi Royals imewekwa mtu kati na timu tatu zinazoifuatia katika msimamo wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa wanawake (WBDL) ikiwa inashiriki kwa mara ya pili na mara hii hadi sasa inaongoza katika msimamo ikiwa na  pointi 14. Timu zingine zenye pointi 14 ni Jeshi Stars, JKT Stars na…

Read More

City Bulls yageuka shamba la bibi

TIMU ya kikapu ya Vijana maarufu kama City Bulls imegeuka kuwa sehemu ambayo wachezaji wake wanachukuliwa bila na timu zingine hivyo kuwa sawa na akademi inayoibua wanamichezo na kisha wanaondoka. Hali hiyo imeifanya timu hiyo ishindwe kuonyesha makali katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kama ilivyozoeleka miaka mingi nyuma. Msimu huu…

Read More

Rais Samia amteua kigogo TIC kuwa bosi mpya TISEZA

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Gilead Teri kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza). Teri ambaye alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), anakwenda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo iliyoanzishwa kufuatia kutungwa kwa Sheria ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Na….

Read More

Mateso ya ‘yasiyoweza kuhimili’ yanaendelea, afisa wa UN anaambia Baraza la Usalama – Maswala ya Ulimwenguni

Mabalozi wakuu katika Baraza la UsalamaKatibu Mkuu wa Khiari ya Mashariki ya Kati Khiari alisema zaidi ya Wapalestina 1,000 waliuawa tangu katikati ya Juni pekee, wengi wao wakati wakitafuta misaada. Akionyesha takwimu kutoka kwa viongozi wa afya wa Gazan, aliripoti kwamba jumla ya vifo vya Wapalestina tangu 7 Oktoba 2023 walikuwa wamezidi 56,500. “Kiwango cha…

Read More

BASHUNGWA ACHUKUA FOMU KUTETEA UBUNGE JIMBO LA KARAGWE.

::::::: Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Innocent L. Bashungwa amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Karagwe, mkoani Kagera kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Bashungwa amechukua fomu hiyo na kuirejesha kwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Karagwe, Ndugu Anatory Nshange, leo tarehe 01…

Read More