TRA yaandika historia mpya ya makusanyo

Dar es Salaam. Wakati mwaka mpya wa fedha ukianza leo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imemaliza mwaka wa fedha 2024/2025 kwa mafanikio, ikivuka lengo la makusanyo yake na kuandika historia mpya ya ukusanyaji. Katika mwaka huo wa fedha, lengo lilikuwa kukusanya Sh31.5 trilioni, ila hadi kufikia Juni 30, makusanyo yalifikia Sh32.2 trilioni, ambayo ni ufanisi…

Read More

Mashine kusaidia uuzaji vinywaji bila muuzaji

Dar es Salaam. Ili kuweka urahisi wa ufanyaji wa biashara pasipo uwepo wa watu, mbinu mpya na rahisi imebuniwa itakayofanya biashara kujiendesha kidigitali. Mbinu hiyo inaweza kuwa ahueni kwa wauzaji wa vinywaji ikiwemo juisi, bia, maziwa au maji katika maeneo mbalimbali nchini. Hiyo ni baada ya kutengenezwa kwa mashine mfumo wa ‘ATM’ ambayo mtu anaweza…

Read More

Kukithiri udumavu Afrika kwawaibua wadau

Arusha. Jumuiya ya Afya ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA), na Mtandao wa Asasi za Kiraia zinazohusika na masuala ya lishe ( ESA SUN CSN), wamesaini mkataba wa miaka mitano wenye lengo la  kupunguza changamoto zinazosababishwa na ukosefu wa lishe. Mkataba huo umesainiwa leo Jumanne Julai Mosi, 2025 katika makao makuu ya ESCA, jijini…

Read More

Mahakama ya Kisutu yasimamisha usikilizwaji kesi ya Lissu

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam, Kisutu  imesimamisha usikilizwaji wa kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni, inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu kwa muda usiojulikana. Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo kutokana na kuwepo kwa mashauri mawili ya maombi ya mapitio yaliyofunguliwa na Lissu Mahakama Kuu,…

Read More

Mahakama yatoa amri kesi ya Lissu

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa amri kwa Serikali kuhakikisha inatoa uamuzi haraka katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ili kama wana ushahidi wa kumshtaki ashtakiwe au kama hawana ushahidi asiendelee kukaa gerezani. Uamuzi huo umetokewa leo, Jumanne Julai Mosi, 2025 na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo,…

Read More