Akili unde kusaidia matibabu ya afya ya akili

Dar es Salaam. Kutambua hatua za haraka ili kutibu tatizo linalokusumbua ni moja ya njia inayoweza kukusaidia kuwa salama. Lakini baadhi ya magonjwa kama msongo wa mawazo, wasiwasi na matatizo ya kihisia wakati mwingine imekuwa vigumu kuyabaini mwanzoni, ndipo kikundi cha wabunifu vijana kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kilipokuja na suluhisho. Kikundi hicho kinatumia…

Read More

HUYU NDIYE UGIN MKINGA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MADABA

Ruvuma. Ugin Mkinga ni jina jipya lenye mvuto mkubwa katika anga ya siasa ya Tanzania, hasa kwa wale wanaofuatilia mustakabali wa maendeleo ya Jimbo la Madaba, Huyu ni kijana mzalendo mwenye ari, maarifa ya kimataifa na moyo wa kujitolea, ambaye sasa amejitosa rasmi katika kuwania Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), akilenga kulihudumia jimbo alilotokea…

Read More

UDSM yaja na bajaji inayotumia maji na mafuta

Dar es Salaam. Wakati biashara ya usafirishaji ikiendelea kukua nchini, watu wanaendelea kubuni njia rahisi zitakazowawezesha kufanya shughuli zao kwa urahisi na kuwapunguzia gharama za uendeshaji. Hilo limeonekana kwa Andrew Mmbanga kutoka Ndaki ya Uhandisi na Teknolojia (CoET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ambaye amebuni bajaji inayotumia maji na mafuta. Amesema kwa…

Read More

Ripoti inaonyesha ongezeko kubwa la majeruhi wa raia na ukiukwaji wa haki nchini Ukraine – maswala ya ulimwengu

Inashughulikia kipindi Kuanzia 1 Desemba 2024 hadi 31 Mei 2025, wakati ambao raia 986 waliuawa na 4,807 walijeruhiwa – ongezeko la asilimia 37 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliopita. “Vita huko Ukraine – sasa katika mwaka wake wa nne – inazidi kuwa mbaya kwa raia” Alisema Danielle Bell, mkuu wa Ujumbe wa Ufuatiliaji wa…

Read More

25 wadakwa maandamano ya Gen-Z Kenya

Kenya. Watu 25 wamekamatwa nchini Kenya kutokana na vurugu zilizoibuka kwenye maandamano ya Juni 25, 2025 ya vijana maarufu Gen-Z yaliyofayika kwa lengo la kukumbuka wenzao waliouawa mwaka jana. Katika maandamano hayo ya Jumatano iliyopita vifo, vurugu, uporaji ni miongoni mwa mambo yaliyotokea katika majiji ya Nairobi, Mombasa na miji mingine dhumuni ikiwa ni kuadhimisha…

Read More

Kutoka mipango, mauaji hadi askari kunyongwa-1

Dar es Salaam. “Kesi hii inaonesha hali ya kusikitisha na ya kushangaza, askari polisi ambao waliapa kulinda sheria na usalama wa maisha na mali za raia, sasa wameshtakiwa kwa kosa kubwa la kutisha la mauaji linaloweza kuharibu kabisa uaminifu wa kipekee uliowekwa kwao, badala ya kuwa kimbilio kwa watu wenye hofu, uwepo wao sasa unasababisha…

Read More

Bei ya petroli, dizeli yashuka Julai

Dar es Salaam. Bei ya mafuta ya petroli, dizeli na ya taa katika Bandari ya Dar es Salaam imeshuka ikilinganishwa na Juni 2025. Taarifa iliyotolewa leo Julai Mosi, 2025 na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura),  imeonyesha bei ya kikomo ya petroli katika Bandari ya Dar es Salaam ni Sh2,877 tofauti…

Read More