Dismas Nsindo ajitosa udiwani Kata ya Buyuni

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dismas Nsindo, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Kuwania Udiwani WA Kata ya Buyuni, wilayani Ilala, mkoani Dar es salaam. Nsindo ambaye ni mdau wa michezo, amechukua fomu hiyo katika Ofisi ya CCM Kata Buyuni, jijini Dar es Salaam  leo. Dirisha  la utoajia wa fomu Kwa wanachama ndani…

Read More

Kurudi kwa Kurudi kutoka kwa Mifumo ya Msaada dhaifu wa Iran, mashirika ya UN yanaonya – maswala ya ulimwengu

Asilimia tisini na tisa ya waliorudishwa hawakuorodheshwa, na asilimia 70 walirudishwa kwa nguvu, na kuongezeka kwa nguvu kwa familia kuondolewa-mabadiliko kutoka miezi ya mapema, wakati waliorudishwa walikuwa vijana wadogo, Kulingana kwa wakala wa UN. Kuongezeka kunafuata uamuzi wa Machi na serikali ya Irani inayohitaji Waafghanistan wote wasio na kumbukumbu kuondoka nchini. Masharti yalizidi zaidi baada…

Read More

HAWA MCHAFU AJITOSA UBUNGE VITI MAALUMU PWANI

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Aliyekuwa Mbubge wa Viti maalum kwa kipindi cha mwaka 2020/2025 kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Hawa Mchafu Chakoma amejitosa kuchukua fomu kwa kwa ajili ya kutetea nafasi yake ya Ubunge kwa kipindi cha mwaka 2025/2030. Mchafu ,amechukua fomu hiyo katika ofisi ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania…

Read More

Operesheni Majimaji ya ACT- Wazalendo kuanza leo Kigoma

Kigoma. Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu,  leo Jumanne Julai 1, 2025 anaanza ziara yake ya siku 15 katika mikoa saba nchini, ikiwa ni mwanzo wa Operesheni Majimaji ya chama hicho. Operesheni hiyo pamoja na mambo mengine, inalenga kutoa elimu na kuwahamasisha wanachama wa chama hicho na wananchi, kulinda kura wakati wa Uchaguzi…

Read More

Ulinzi waimarishwa Kisutu, Lissu akifikishwa mahakamani

Dar es Salaam. Wakati, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu akiwa ameshafikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kusikiliza kesi zake mbili, ulinzi katika Mahakama hiyo umeimarishwa.Ulinzi huo umeanzia katika lango la kuingilia katika Mahakama hiyo hadi katika ukumbi namba moja ambapo kesi hizo mbili zitasikilizwa hapo. Lissu…

Read More

Serikali kutoa hatima ya kesi ya uhaini inayomkabili Lissu leo?

Dar es Salaam. Kesi mbili zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumanne Julai Mosi, 2025, zinaendelea kuunguruma katika hatua tofautitofauti. Lissu anakabiliwa na kesi ya uhaini pamoja na ya kuchapisha taarifa za uwongo mitandaoni, katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, zinazosikilizwa na mahakimu wawili tofauti.Kesi hizo zote zimepangwa kuendelea…

Read More

Sababu mikoa  10 kuwa kinara wanafunzi kuacha shule

Dar es Salaam. Kila mwaka wa masomo, maelfu ya watoto huacha shule kabla ya kumaliza elimu ya msingi au sekondari. Tatizo hili ni kubwa kwa mikoa 10 ambako, kwa mujibu wa uchambuzi wa gazeti hili ukitumia takwimu za Serikali, kuna idadi kubwa ya wanafunzi wanaoacha shule katika ngazi ya msingi na sekondari. Wadau wanasema hali hiyo…

Read More

Tunahitaji makongamano ya kitaifa kujadili maadili ya Taifa

Dar es Salaam. Katika nchi yetu huwa tuna makongamano mara kwa mara kuhusu mada mbalimbali hasa zinazohusu mustakabali wa nchi.  Hali hiyo sio tu inasaidia Taifa kimaendeleo, pia ni utekelezaji wa falsafa kwamba hatuna budi kujiendeleza siku zote kifikra na kielimu. Makongamano yanaelimisha, yanatoa maarifa mapya, yanafikirisha na kutafakarisha.  Katika muktadha huu naona umefika wakati,…

Read More

Mkali wa mabao Namungo bado kidogo

STRAIKA Joshua Ibrahim aliyejiunga na Namungo katika dirisha dogo Januari, mwaka huu kutokea KenGold, kwa sasa imebaki yeye tu kusaini mkataba mpya kuendelea kuitumikia timu hiyo, baada ya mabosi kumuwekea mezani mkataba wa miaka miwili. Mabosi wa Namungo wameamua kumpa mkataba huo kutokana na kuridhishwa na kiwango bora alichoonyesha kikosini. Nyota huyo alijiunga na Namungo…

Read More

Ilanfya mambo freshi, mjipange | Mwanaspoti

BAADA ya mshambuliaji wa JKT Tanzania, Charles Ilanfya kukaa nje kwa msimu mzima akiuguza jeraha la goti la kulia aliloumia kwenye mechi ya kwanza dhidi ya Azam, amesema atarejea kivingine 2025/26. Ilanfya alisema licha ya kukaa nje alikuwa anafanya mazoezi na kufuatilia Ligi Kuu ili kujua kinachoendelea, na kilichomvutia zaidi ni kiwango walichokionyesha wazawa kama…

Read More