NJOLO ACHUKUA FOMU UBUNGE JIMBO LA TUNDURU KUSINI

Tunduru – Ruvuma. Jumla ya Wanachama 8 wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, wamejitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba Mwaka huu. Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Tunduru Yusuf Mabema amesema,kati ya wanachama hao 3 wanatoka Jimbo la Tunduru Kaskazini akiwemo aliyewahi kuwa Mbunge wa…

Read More

Hersi: Bado ahadi moja Yanga

RAIS wa Yanga, Hersi Said amesema anadaiwa ahadi moja kati ya tano walizoahidi walipopewa ridhaa ya kuongoza klabu hiyo. Akizungumza na mashabiki wa Yanga makao makuu ya klabu hiyo, amesema waliahidi kuwa na mabadiliko ya uendeshaji wa klabu ambayo amethibitisha kuwa hivi karibuni wanachama watajua thamani ya klabu hiyo. Pia ametaja ahadi ya pili kuwa…

Read More

Bosi Yanga apiga mkwara, hakuna wa kuwashusha

Uongozi wa klabu ya Yanga umeahidi usajili bora zaidi msimu ujao na kuweka wazi kuwa hakuna timu ya kuwashusha kwa mafanikio waliyoyapata misimu minne mfululizo. Hersi Said, rais wa Yanga ameyasema hayo makao makuu ya klabu alipokuwa akizungumza na nyomi ya mashabiki waliojitokeza kufurahia ubingwa ilioupata timu yao. Hersi amesema wachezaji walioondoka na watakaondoka wao…

Read More

Hersi aahidi Yanga bora zaidi msimu ujao

RAIS wa Klabu ya Yanga, Hersi Said amesema baada ya kutetereka kimataifa kwa misimu minne mfululizo, msimu ujao hawatarajii kufanya makosa. Yanga ambayo msimu wa mwisho kimataifa imeishia hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, msimu ujao itaiwakilisha nchi sambamba na Simba katika Ligi ya Mabingwa huku Azam na Singida Black Stars zikicheza Kombe la…

Read More

Huu ndio umuhimu wa elimuhisia kwenye mfumo wa elimu

Dar es Salaam. Nimekuwa nikishirikiana na shule mbalimbali kuutazama mchakato wa ujifunzaji na mbinu wanazotumia, kumwezesha mwanafunzi kufikia malengo yanayobainishwa na mtalaa. Katika kutekeleza majukumu yao, walimu wanakabiliana na changamoto mbalimbali.  Kwa mfano, masuala kama ukosefu wa mazingira wezeshi ya kufundishia, uhaba wa vifaa vya kufundishia, matatizo ya nidhamu kwa wanafunzi yanachangia, kwa kiasi kikubwa,…

Read More

Haki za Binadamu zinaweza kuwa ‘lever nguvu ya maendeleo’ katika mabadiliko ya hali ya hewa, anasema mkuu wa haki za UN – maswala ya ulimwengu

Akiongea Baraza la Haki za Binadamu Huko Geneva, Kamishna Mkuu Volker Türk aliuliza nchi wanachama ikiwa inatosha kulinda watu kutokana na athari kubwa za mabadiliko ya hali ya hewa. “Je! Tunachukua hatua zinazohitajika kulinda watu kutoka kwa machafuko ya hali ya hewa, kulinda hatima yao na kusimamia rasilimali asili kwa njia ambazo zinaheshimu haki za…

Read More

Hersi, Kamwe wageuka kivutio Yanga

Rais wa Yanga Hersi Said, ofisa habari wa klabu hiyo Ally Kamwe na kiungo mshambuliaji Clatous Chama wameibuka washehereshaji kwa kucheza juu ya gari lililobeba mataji ya klabu hiyo. Watatu hao wamesimama na kucheza nyimbo mbalimbali zilizopigwa ukiwemo Aviola baada ya gari hiyo kusimama zaidi ya nusu saa kutokana na foleni. Msafara wa Yanga ulitoka…

Read More

Kipa Simba atimkia Morocco | Mwanaspoti

WAKATI mabosi wa Simba wakiendelea kujadiliana juu ya kumtema kipa Moussa Camara au la, taarifa kutoka klabu hiyo ya Msimbazi zinadokeza kuwa, mabosi hao wamemalizana na kipa Ayoub Lakred ambaye anajiandaa kwenda kujiunga na klabu ya FUS Rabat ya Morocco anakotokea. Kipa huyo, aliyekuwa kipa namba moja misimu miwili iliyopita kabla ya kuumia na kuletwa…

Read More