Mkenya airahisishia Simba | Mwanaspoti
WAKATI Simba ikifukuzia saini ya winga wa Polisi ya Kenya, Mohammed Omar Ali Bajaber kwa ajili ya kuboresha kikosi hicho msimu ujao, kwa sasa mabosi wa timu hiyo washindwe wenyewe. Simba ambayo iliyopoteza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na kumaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara, imekuwa ikifanya usajili ya kimya kimya na…