Uchangiaji luku, maji, usafi unavyosababisha migogoro

Dar es Salaam. Kadiri baadhi ya watu wanavyokwepa kuchangia gharama za huduma muhimu kama maji, umeme, ulinzi shirikishi na uzoaji wa taka katika nyumba wanazoishi, ndivyo wanavyokwamisha upatikanaji wake kwa wengine, hali inayozua malalamiko na migogoro. Huduma kama ununuzi wa umeme (luku), bili za maji na usafi katika nyumba za kupanga huathiriwa moja kwa moja…

Read More

Benki ya Mkombozi kuvigeuza vituo vya kimkakati kuwa matawi

Dar es Salaam. Benki ya Mkombozi imesema inatarajia kubadilisha mawakala wake wa kimkakati kuwa matawi, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha faida endelevu, ukuaji wa biashara na kuongeza thamani kwa wanahisa. Hayo yameelezwa katika mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika mwisho wa wiki iliyopita, ambapo Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo, Gasper Casmir…

Read More

Kesi wanachuo kutishia kuua, yasubiri ripoti ya mtaalamu

Dar es Salaam. Serikali imesema inasubiri kukamilika kwa ripoti ya mtaalamu ili kesi ya kusababisha madhara mwilini inayomkabili mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mary Matogolo (22) na wenzake wawili, iendelee na hatua ya usomwaji wa hoja za awali (PH). Wakili wa Serikali Erick Kamala, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo…

Read More

Kibano cha kodi kwa wafanyabiashara wadogo chaja

Unguja. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Saada Mkuya Salum amesema kuna ongezeko kubwa la ukuaji uchumi kupitia vyanzo vya biashara ndogondogo zinazofanywa mitaani, hivyo zinapaswa kufuatiliwa na kusajiliwa kwa lengo la kudhibiti mapato hayo yasiendelee kupotea. ‎Kauli hiyo ameitoa leo, Jumatatu, Julai 28, 2025, alipozungumza na masheha wa Wilaya…

Read More

Wajasiriamali 222 wathibitisha kushiriki maonyesho Nanenane

Unguja. Wajasiriamali 222 wamejisajili kuonyesha bidhaa zao katika maonyesho ya Nanenane yanayotarajiwa kufanyika Agosti 2, 2025 katika viwanja vya maonyesho Dole Kizimbani, Mkoa wa Mjini Magharibi. Mbali na wajasiriamali hao washiriki binafsi 311, taasisi za Serikali 49 na mashirika binafsi 40 nao wamethibitisha kushiriki. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Julai 28, 2025 na Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji,…

Read More

Abuya, Maxi miwili tena Yanga

PACHA ya eneo la kiungo cha ukabaji ndani ya Yanga imevunjika kwa kuondoka mkongwe mmoja tu. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya timu hiyo kumuongezea mkataba wa miaka miwili Duke Abuya Yanga eneo hilo la kiungo ilikuwa inaongozwa na Khalid Aucho, Mudathir Yahya na Abuya ambapo nyota hao watatu walikuwa mhimili mkubwa wa mafanikio ya…

Read More

Jaji Mwanga aigomea Chadema, atoa sababu

‎Dar es Salaam. Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, wamegoma kujitoa kusikiliza kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). ‎‎Kesi hiyo ya madai ya mwaka 2025 imefunguliwa na Said Issa Mohamed, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chadema, Zanzibar na wajumbe wa Bodi ya…

Read More

Ulaji sahihi wa ‘kisinia’ ni huu

Dar es Salaam. Ingawa kisinia ndiyo mtindo mpya wa mlo wa pamoja miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki, zipo hatari za kiafya zilizojificha nyuma ya mtindo huo, iwapo hautafuatwa usahihi katika ulaji wake. Kisinia ni mtindo wa ulaji unaohusisha aina mbalimbali za vyakula vinavyotengwa katika sahani moja na aghalabu huliwa kwa kuchangiwa na watu kuanzia…

Read More

12 zapeta Yamle Yamle Cup, 13 zikiaga

Baada ya kukamilika hatua ya makundi ya mashindano ya Yamle Yamle Cup, timu 12 zimefuzu hatua ya 12 bora upande wa kisiwani Unguja. Timu ambazo zimefuzu ni Mazombi FC, Welezo City, Al Qaida FC, Mwembe Makumbi Combine, Melitano City, Nyamanzi City, Magari ya Mchanga, Real Nine City, Miembeni City, Melinne City, Kundemba FC na Kajengwa…

Read More