Kocha Yanga ashusha mafundi wengine wapya

YANGA imebakiza hatua chache kumalizia usajili, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Romain Folz kuna mabadiliko anayoyafanya akipanga kushusha watu wengine wawili wapya Jangwani. Kocha huyo kijana mwenye umri wa miaka 35, aliyetambulishwa wiki iliyopita tayari ameshashusha watu wawili mapema, lakini bado kazi hiyo ataendelea nayo ikidaiwa kwa sasa amepata ruhusa ya kuongeza watu wengine…

Read More

Fadlu abeba mbadala wa Tshabalala

LICHA ya kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia Namungo, beki wa kushoto Anthony Mligo yupo katika rada za Kocha wa Simba, Fadlu Davids anayedaiwa kuwaambia mabosi wa timu hiyo kuwa anahitaji huduma ya kijana huyo mwenye miaka 20, kiasi cha kumuita mazoezini amuone zaidi. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Simba, siku ya Alhamisi iliyopita,…

Read More

Dili la Maseko laingia mdudu

DILI la Simba la kutaka kumnasa winga wa kushoto wa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, Thapelo Maseko linaonekana kuingia katika ushindani mpya baada ya klabu ya Aris Limassol ya Cyprus kuonyesha nia ya kumsajili nyota huyo kijana. Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa Aris tayari wameanza mazungumzo ya awali kuhusu ada ya usajili na masharti binafsi…

Read More

Mwenda arudishwa mlangoni kwenda Simba

KAMA mabosi wa Yanga wangechelewa kidogo tu, ilikuwa inakula kwao baada ya beki wa kulia wa timu hiyo, Israel Mwenda kubakiza hatua chache kuchukuliwa, lakini mabingwa hao wakapindua meza. Mwenda aliyekiowasha vizuri ndani ya miezi sita tu ya mkopo akitokea Singida Black Stars, alikuwa na hesabu za kuondoka Yanga baada ya kuona jambo lake la…

Read More

UN inaonya juu ya ‘janga la njaa’ huko Gaza wakati Israeli inatangaza pause ya kibinadamu – maswala ya ulimwengu

Lakini wakati njaa inaimarisha mtego wake na “watoto wanakufa mbele ya macho yetu,” maafisa wa UN na wafanyikazi wa misaada wanaonya kwamba hatua hizo zinapungukiwa sana na ufikiaji wa misaada inayohitajika sana na ufikiaji wa misaada ambao unaweza kusaidia kusababisha janga la kibinadamu. “Karibu tangazo la pause ya kibinadamu huko Gaza ili kuruhusu misaada yetu…

Read More

AMREF TANZANIA YAPOKEA MILIONI 100 KUTOKA NBC DODOMA MARATHON 2025 KUBORESHA HUDUMA KWA WATOTO WENYE USONJI

Mkurugenzi Mkazi wa Amref Tanzania, Dr. Florence Temu akiambatana na viongozi mbalimbali wakati wa NBC Dodoma Marathon 2025, 27/07/2025, Dodoma.Baadhi ya Wafanyakazi wa Shirika la Amref Tanzania wakati wa mbio za NBC Dodoma Marathon 2025, zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma 27/07/2025.Mkurugenzi wa Miradi Amref Tanzania, Dkt. Aisa Muya (Wa pili kushoto) akiambatana na…

Read More