Chaumma yapokea wanachama wapya 250

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimepokea wanachama wapya 250 kutoka Jimbo la Kinondoni leo Jumapili, Julai 27, 2025 wakati chama hicho kilipofanya mkutano mkuu wa jimbo hilo. Sera za chama, kushiriki uchaguzi, mabadiliko ni miongoni mwa sababu zilizofanya chama hicho kupokea wanachama wapya jimboni hapo kama alivyosema Katibu wa Jimbo la…

Read More

Rais Samia kufungua kongamano la elimu bila kikomo

Dodoma. Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) itawakutanisha wadau wa elimu katika maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, huku miongoni mwa malengo yakielezwa ni kuangazia umuhimu wa kujua kusoma na kuandika katika kujifunza bila ukomo. Mbali na hilo, Rais Samia Suluhu Hassan atafungua kongamano la masuala ya elimu bila kikomo litakalofanyika Agosti 25,…

Read More

Miili ya wanafunzi sita ajali ya basi ilivyoagwa

Mbeya. Vilio na simanzi vimetawala katika Shule ya Sekondari Chalangwa, wilayani Chunya mkoani Mbeya, wakati wa kuagwa kwa miili ya wanafunzi sita waliopoteza maisha katika ajali ya basi, walipokuwa wakifanya mazoezi ya utimamu wa mwili. Ajali hiyo ilitokea jana Jumamosi Julai 26, 2025 katika eneo la Chalangwa baada ya basi la abiria la Kampuni ya…

Read More

Maafa Mbeya, ajali ikiua na kujeruhi

Mbeya. Watu kadhaa ambao bado idadi yao haijajulikana wanahofiwa kufariki dunia  katika ajali maeneo ya mteremko wa Nzovwe hadi kwenye daraja la Iyunga kunakoendelea ujenzi wa barabara ya njia nne jijini Mbeya ikihusisha magari matano. Ajali hiyo imetokea leo Julai 27, ambapo Mwananchi Digital imefika katika maeneo hayo na kushuhudia Jeshi la Polisi, Zimamoto na…

Read More

Maafa Mbeya, ajali ikiuua na kujeruhi

Mbeya. Watu kadhaa ambao bado idadi yao haijajulikana wanahofiwa kufariki dunia  katika ajali maeneo ya mteremko wa Nzovwe hadi kwenye daraja la Iyunga kunakoendelea ujenzi wa barabara ya njia nne jijini Mbeya ikihusisha magari matano. Ajali hiyo imetokea leo Julai 27, ambapo Mwananchi Digital imefika katika maeneo hayo na kushuhudia Jeshi la Polisi, Zimamoto na…

Read More

Watu kadhaa wahofiwa kufariki, kujeruhiwa ajalini Mbeya

Mbeya. Watu kadhaa ambao bado idadi yao haijajulikana wanahofiwa kufariki dunia  katika ajali maeneo ya mteremko wa Nzovwe hadi kwenye daraja la Iyunga kunakoendelea ujenzi wa barabara ya njia nne jijini Mbeya ikihusisha magari matano. Ajali hiyo imetokea leo Julai 27, ambapo Mwananchi Digital imefika katika maeneo hayo na kushuhudia Jeshi la Polisi, Zimamoto na…

Read More

Standard Chartered Bank Tanzania Hosts Employee Volunteering Session to Empower Young Entrepreneurs through RISE/E Program.

Standard Chartered Bank Tanzania today held a successful Employee Volunteering Session with beneficiaries of its flagship RISE/E program, reaffirming the Bank’s commitment to driving inclusive economic growth through sustainable entrepreneurship. The session brought together employee volunteers from various departments within the Bank and young entrepreneurs participating in the RISE/E (Ready for Inclusive Sustainable Employment and Entrepreneurship) program. The event…

Read More

Dkt Biteko Awaongoza Washiriki 12,000 Mbio za NBC Dodoma Marathon, Mil 700 Zakusanywa Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto

Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko leo ameongoza washiriki zaidi ya 12,000 wa mbio za NBC Dodoma Marathon zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma huku akiwapongeza waandaaji wa mbio hizo Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kufanikiwa kukusanya fedha kiasi cha sh milioni 700 zitakazoelekezwa katika kufadhili malengo makuu matatu yenye dhima ya…

Read More