Waarabu waitibulia Singida Black Stars kwa straika

MABOSI wa Singida Black Stars wamempa ‘Thank You’, Jonathan Sowah kubariki kutua Simba, huku hesabu zikiwa ni kumbeba mshambuliaji wa Berekum Chelsea ya Ghana kwa ajili ya msimu ujao, lakini ghafla dini hilo limetibuka baada ya nyota huyo kubadilisha mawazo ya kuja Tanzania baada ya kumalizana na Smouha ya Misri. Amankonah alihitajika Singida kwa ajili…

Read More

Askofu Gwajima azungumzia ubunge wake, kushiriki vikao CCM

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amevunja ukimya kuhusu sababu ya yeye kutojitosa na kutangaza nia ili kutetea ubunge wa Kawe katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Katika mahojiano maalumu na Mwananchi leo Jumapili, Julai 27, 2025, kiongozi huyo ameeleza kinachozungumzwa hivi sasa kumhusu yeye kutoonekana kwenye…

Read More

Wasiojulikana waharibu, waiba miundombinu ya umwagiliaji Hai

Hai. Watu wasiojulikana wamevamia shamba la mwalimu mstaafu, Germana Mushi na kuharibu miundombinu ya kilimo ikiwemo mfumo wa umwagiliaji na mitambo ya sola, uharibifu unaokadiriwa kufikia zaidi ya Sh40 milioni. Shamba hilo lenye ukubwa wa ekari zaidi ya 30, liko katika Kijiji cha Mkalama, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ambapo zimeibiwa pampu za umwagiliaji, mfumo…

Read More

Presha zaanza uchaguzi RT | Mwanaspoti

ZIKIWA zimebaki siku chache tu kabla ya kufanyika kwa usaili utakaofanyika Agosti Mosi, presha inazidi kupanda na kushuka kwa wagombea 20 waliochukua fomu ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Shirikisho la Riadha Tanzania (RT). Usaili huo utafanyika jijini Dar es Salaam na utakuwa ni kipimo muhimu cha kuamua ni nani atapewa fursa ya…

Read More

Azam FC yaanza msako mpya

KIKOSI cha Azam kinaingia rasmi kambini leo ili kuanza maandalizi ya msimu ujao (Pre Season), huku kikibeba matumaini kwa matajiri hao wa Jiji la Dar es Salaam, baada ya ujio wa benchi jipya la ufundi chini ya Mkongomani Florent Ibenge. Azam inaanza maandalizi hayo ikiwa chini ya Ibenge aliyetambulishwa ndani ya kikosi hicho Julai 5,…

Read More

Mbeya City kumrejesha Kigonya Bara

UONGOZI wa Mbeya City uko katika mazungumzo ya kumrudisha tena Tanzania aliyekuwa kipa wa Azam FC, Mganda Mathias ‘Kone’ Kigonya, baada ya nyota huyo kumaliza mkataba wake na Yadah Stars FC ya Harare, Zimbabwe aliyojiunga nayo Julai 4, 2024. Kigonya aliyezaliwa Februari 2, 1996, katika Mji wa Lyantonde huko kwao Uganda, inadaiwa yupo katika mazungumzo…

Read More