Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Isaya Kastam, mkulima na mkazi wa Kwa Mfipa, kwa tuhuma za mauaji ya aliyekuwa mpenzi wake, Faraja Lumanus
Month: July 2025

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku chache kuanza kwa usafiri wa mabasi yaendayo haraka (BRT) maarufu ‘mwendokasi’ katika Barabara ya Gereza-Mbagala, Kampuni ya Mofat iliyopewa

Bunge ni chombo cha kutunga sheria katika nchi na ndiyo chombo cha uwakilishi wa wananchi na kuisimamia Serikali katika mambo mbalimbali yanayofanyika na mwisho wa

Songea. Ili kuleta unafuu kwa wakulima wa kuuza mazao yao kwa ufanisi na kujikimu kimaisha, Chama cha ACT- Wazalendo, kimesema kitafuta ushuru wa mazao endapo

Na Mwandishi wetu Ngorongoro. Baadhi ya watalii waliokuwa katika safari zao za kawaida kwenye eneo la hifadhi ya Ngorongoro leo jumatano tarehe 9 Julai 2025

MICHUANO ya kombe la Dunia Ngazi ya Vilabu inazidi kupamba moto ambapo sasa ni hatua ya nusu fainali. Bashiri kwa GG&3+ mechi ya Fluminense dhidi
Baadhi ya Wasichana na wanawake waliowezeshwa na shirika la CAMFRED hadi kufikia ujasiliamali. Picha ya pamoja. KATIKA jamii nyingi za Kitanzania, wanawake na wasichana wamekuwa

WIZARA ya Katiba na Sheria ambayo ni mshindi wa kwanza wa jumla kati ya wizara zote zilizoshiriki katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara

BAADA ya uongozi wa Tanzania Prisons kufanya kikao cha tathimini ya timu hiyo ilichofanya msimu uliomalizika na kipi wakifanye ujao, wameanza mazungumzo ya kuwaongezea mikataba

BAADA ya kukabidhiwa mikoba ya kuinoa Azam FC, Florent Ibenge ameanza rasmi kueleza mikakati na misimamo yake ya kazi kikosini na ameweka wazi nidhamu ndiyo