Zanzibar yajipanga kuongeza ufaulu elimu ya msingi

Unguja. Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikitekeleza mageuzi ya elimu, imeingia makubaliano na shirika binafsi la Room to Read kutekeleza mradi wa usomaji na maktaba kusaidia kuongeza ubora wa elimu ngazi ya msingi. Makubaliano hayo yameingiwa kati ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali na shirika hilo, yakilenga kuongeza kiwango cha K3…

Read More

78 WAFANYIWA UPASUAJI WA KUTENGENEZA MISHIPA YA KUCHUJA DAMU, 19 WAPANDIKIZWA FIGO MUHIMBILI MLOGANZILA

Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imeendelea kujikita katika kuboresha huduma za matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi na kuweka rekodi ya kuwa hospitali ya kwanza nchini kufanya upasuaji wa kutengeneza mishipa ya kuchuja damu kwa wagonjwa wa figo kwa wakati mmoja, kwa kuwapatia matibabu hayo wagonjwa 41 hivyo kufikisha idadi ya wagonjwa 78 waliopatiwa huduma hiyo…

Read More

WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA AFREXIMBANK

……… Aibua maeneo ya uwekezaji, ushirikiano zaidi na Tanzania_ WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya mazungumzo na Rais Mteule na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Maendeleo ya Biashara ya Afrika (Afreximbank), Dkt. George Elombi na kuainisha maeneo zaidi ya uwekezaji nchini Tanzania. Mheshimiwa Majaliwa amesema anaamini kuwa katika kipindi cha uongozi wa Dkt….

Read More

RAIS SAMIA AZINDUA USAFIRISHAJI WA MIZIGO KWA KUTUMIA USAFIRI SGR KUTOKA DAR ES SALAAM HADI DODOMA, KWALA MKOANI PWANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Kongani ya Viwanda ya Kwala (Kwala Industrial Park) iliyopo Kwala,Kibaha vijijini mkoani Pwani tarehe 31 Julai, 2025. Lengo kuu la Kongani ya viwanda ni kujenga viwanda 2000 na kwasasa kuna viwanda 12 katika eneo lenye…

Read More

CCM YAMPITISHA DEOGRATIUS SENI KUWANIA UDIWANI

:::::::  Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kikao chake kilichofanyika jijini Dodoma tarehe 28 Julai 2025, imempitisha Deogratius Seni Kata Shagihilu mkoa wa shinyanga kuwa miongoni mwa wanachama walioteuliwa kushiriki kura za maoni kwa nafasi ya udiwani kupitia chama cha Mapindunzi CCM Kata ya Shagihilu. Seni, ambaye ni…

Read More