Mwalimu ajiua kwa kujichoma moto Rombo, chanzo chatajwa

Rombo. Mwalimu wa Shule ya Msingi Sinya, iliyopo Wilaya ya Longido mkoani Arusha, Samwel Mlay (39), anadaiwa kujiua kwa kujiteketeza kwa moto katika nyumba yake aliyokuwa akiishi na familia yake. Mwalimu Samwel Mlay (39) enzi za uhai wake Mlay alikuwa akiishi katika Kijiji cha Ngoyoni kilichopo katika Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro,  chanzo cha kufikia…

Read More

WAZIRI GWAJIMA KUZINDUA KAMPENI YA ‘BADILIKA’ TOKOMEZA UKATILI MKOANI KIGOMA

  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum- Dkt. Doroth Gwajima anatarajiwa kuzindua kampeni ya ‘Badilika, Tokomeza Ukatili’ yenye lengo la ukatili wa kijinsia mkoani Kigoma. Uzinduzi huo umepangwa kufanyika Jumatatu Julai 28, 2025 katika uwanja wa Mwanga Community Centre ambapo kampeni hiyo inatarajiwa kuleta hamasa makundi ya kijamii kuwa wanamabadiliko kupitia…

Read More

Watakiwa kutunza mikoko kukabili mabadiliko tabianchi

Unguja. Wakati maeneo zaidi ya 120 ya kilimo yakiathirika kwa kuingiliwa na maji ya chumvi visiwani Zanzibar kutokana na ukataji wa mikoko usiozingatia matumizi endelevu, jamii imehamasishwa kutunza mikoko ili kuondokana na athari zinazojitokeza ikiwemo mabadiliko ya tabianchi. Hayo yamebainishwa leo Julai 27, 2025 na Mkurugenzi wa Idara ya Misitu, Said Juma Ali wakati akizungumza na…

Read More

INEC, wanasiasa wafundana | Mwananchi

Dodoma. Wakati Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ikiwataka wanasiasa na wafuasi wao kufanya kampeni za kistaarabu, baadhi ya vyama vya siasa vimetaka ofisi za tume hiyo kuwa wazi kabla na baada ya uchukuaji na urejeshaji fomu za kuomba uteuzi. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele…

Read More

Ilani ya ACT-Wazalendo kuja na majibu, kero za muda mrefu

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimesema Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, inayotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni, imelenga kutoa majibu kwa changamoto zinazowakabili Watanzania. Ilani hiyo itabeba mikakati thabiti ya kupambana na umaskini na kuondoa hali ya ufukara, ikiwa ni sehemu ya suluhu za kudumu kwa matatizo yanayowakumba Watanzania. Licha ya changamoto ya…

Read More

Taylor arudi kivingine Mount Uluguru

DEREVA mkongwe, Frank Taylor ameamua kurudi katika mchezo wa mbio za magari na anatarajia kushiriki mbio za Mount Uluguru zitakazofanyika Agosti 16 na 17, mkoani Morogoro. Taylor anakuwa miongoni mwa washiriki watano waliothibitisha kushiriki mbio hizo za raundi ya tatu na kufika 12 na anatarajiwa kutumia gari aina ya Nissan PA 10 ambayo wakati wa…

Read More