Siri kambi ya Simba Misri

BAADA ya majadiliano ya ndani na tathmini ya kina, hatimaye klabu ya Simba imechagua Misri kuwa ngome ya maandalizi ya msimu ujao wa mashindano 2025-2026 ikiwa ni mkakati wa kujenga kikosi madhubuti kitakachopambana kwa ajili mataji ndani na nje ya nchi, huku siri ya kutimkia huko ikitajwa. Kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka klabu hiyo…

Read More

Mbeya City yahamia Ivory Coast

UONGOZI wa Mbeya City uko katika hatua nzuri za kumsajili winga wa FC San Pedro ya Ivory Coast, Aboubakar Karamoko baada ya mabosi wa kikosi hicho kilichopanda kushiriki Ligi Kuu Bara 2025-2026 kuvutiwa sana na uwezo mkubwa wa nyota huyo aliouonyesha. Nyota huyo raia wa Ivory Coast aliyezaliwa Oktoba 15, 1999, alijiunga na San Pedro…

Read More

Beki Mtanzania ataka rekodi Misri

BEKI wa Kitanzania anayekipiga Ghazl El Mahalla ya Misri, Raheem Shomari amesema anatamani kuandika rekodi akiwa na timu hiyo aliyojiunga nayo hivi karibuni akitokea KMC ya Tanzania. Msimu wa 2023/24 Raheem aliibuka na tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi kwenye usiku wa tuzo za Shirikisho la Soka nchini (TFF). Akizungumza na Mwanaspoti, Raheem alisema kitendo cha…

Read More

Ofisi za TPA kuanzishwa jijini Kigali

Dar es Salaam. Serikali imesaini makubaliano ya uanzishwaji wa Ofisi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari ya Tanzania (TPA) jijini Kigali, nchini Rwanda, kama sehemu ya hatua za kuimarisha uhusiano wa karibu na kukuza maendeleo ya pamoja baina ya Tanzania na Rwanda. Kuanzishwa kwa ofisi ya TPA jijini Kigali kunalenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za…

Read More

Hii ndiyo Simba ya Sowah

BAADA ya msimu wa 2024/25 kukamilika patupu kwa Simba bila kutwaa taji lolote kubwa ndani na nje ya nchi, macho yote yakageuka kwa benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Fadlu Davids kuona hatua gani inafuata katika mradi wake. Kocha huyo kijana raia wa Afrika Kusini hakulaza damu. Alichora ramani ya namna ambavyo…

Read More

Mara wataka alama ya utambulisho wa mkoa

Musoma. Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Mara wameziomba mamlaka husika kuanzisha mchakato wa kupatikana kwa alama au nembo ya mkoa huo itakayokuwa utambulisho rasmi kama ilivyo mikoa mingine. Tofauti na mikoa mingine, Mkoa wa Mara hadi sasa hauna nembo kama ilivyo Mwanza, Arusha, Dodoma na Dar es Salaam. Wakizungumza na Mwananchi leo Jumapili Julai…

Read More

Jinsi ya kuishi na watu wenye tabia ngumu

Ni ngumu na kamwe sio rahisi kumbadilisha mtu mwenye tabia ngumu awe rafiki. Mabadiliko haya yanawezekana ikiwa mhusika (mwenye tabia ngumu) atadhamiria na kuwa tayari kushughulika ili kubadilika. Kwa hiyo kama ni ngumu au haiwezekani kumbadilisha, basi jaribu kubadili mtazamo wako na jinsi unavyoishi naye au nao, kwa sababu mara nyingi wewe ndio unayekwazika au…

Read More

MKUTANO WA WAJASIRIAMALI WA AFRIKA-ASIA WASISITIZA MAENDELEO YA VIJANA KATIKA KURASIMISHA BIASHARA

 ZAIDI ya wajumbe wapatao 750 wamekusanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ajili ya mkutano wa wajasiriamali vijana wa asili ya Afrika-Asia, (Afro-Asia Youth Entraprenuers Conference) na kutoa wito kwa vijana kurasimisha na kuendesha biashara zao kwa weledi. Mkutano huo wa siku mbili, ulioandaliwa na Chama Cha Wawekezaji Vijana (Youth Investors Association), na…

Read More

Chonde wanandoa msivunje ndoa zenu kirahisi

Dar es Salaam. Hakuna adui na tatizo kwenye ndoa kama vile kutojiamini, kuamini wengine kama vile vigagula na wachunaji waitwao waombaji na ushirikina. Baadhi ya wanandoa wamevunja ndoa hasa kina mama kutokana na ujinga na uzwazwa huu. Hii ni kutokana na mfumo dume ambao humhukumu mwanamke linapokuja suala la kuwajibika katika ndoa. Leo kutokana na…

Read More