Tahadhari watafutao wenza mitandaoni | Mwananchi

Katika dunia ya sasa ambapo simu janja hazituachi mikononi mwetu, si jambo la kushangaza kuwa hata mapenzi sasa yamehamia mtandaoni. Programu na mitandao ya kutafuta wachumba imebadilisha kabisa namna watu wanavyokutana, kuwasiliana na hata kupendana. Enzi za kukutana kupitia kwa marafiki, shuleni, kazini au kwa bahati tu barabarani, sasa zinaanza kupotea. Leo unaweza tu kuingia…

Read More

Changamoto hizi kwa afya ya watoto wachanga zisipuuzwe

Licha ya mafanikio yanayoendelea kupatikana katika sekta ya afya ya uzazi na watoto nchini Tanzania, bado kuna changamoto kubwa zinazoendelea kutishia uhai wa watoto wachanga. Hii ni pamoja na ukosefu wa huduma bora wakati wa ujauzito, wakati wa kujifungua na mara tu baada ya mtoto kuzaliwa. Takwimu kutoka Chama cha Madaktari Bingwa wa Watoto (PAT)…

Read More

Maswala muhimu ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Kutoka kwa vijidudu vya zamani kuamka katika kuyeyuka kwa glasi hadi uchafuzi wa sumu uliotolewa na mafuriko, hatari hizo haziko mbali tena au nadharia. Wako hapa, na wanakua. Frontiers Ripoti 2025iliyotolewa na Programu ya Mazingira ya UN (Unep), inaangazia maeneo manne muhimu ambapo uharibifu wa mazingira unaingiliana na hatari ya wanadamu: uchafuzi wa urithi, vijidudu…

Read More

Kwa mwanaume miezi mitano hii inatosha kubadili gia

Tuanze na kuambiana jambo moja: ‘Bado tuna nafasi’ na hii sio sentensi ya kutiana moyo kwa maneno matupu, ni ukweli wa maisha. Bila kujali kama ulianza mwaka huu na malengo makubwa ukashindwa kuyatekeleza, au kama hujaona dalili ya kuyatimiza mpaka sasa, nataka ukumbuke bado hujachelewa. Kila mwanaume amewahi kupitia wakati kama huo. Umeandika malengo, unaapa…

Read More

Malezi ya mtoto huakisi mwelekeo wa wazazi

Ili kuunda familia yenye msingi imara wa heshima na maadili mbele ya jamii, wazazi wanapaswa kufanya kazi ya ziada katika kulea watoto wao kwa hekima, uvumilivu na maombi. Tafiti za wataalamu wa saikolojia wa malezi zinaonyesha msisitizo kuwa watoto wadogo ni wadadisi, wanaopenda kujifunza kwa kuangalia na kuiga kila wanachokiona. Wanapojifunza kupitia matendo ya watu…

Read More

Ni wakati wa wanaume kuwa wanaume halisi

Katika jamii nyingi duniani, hususan zile za Kiafrika, nafasi ya mwanaume katika familia imekuwa ikichukuliwa kuwa ya uongozi, ulinzi na uangalizi. Hii haimaanishi kuwa mwanamke hana wajibu wala mchango, bali inaweka bayana kuwa mwanaume ana wajibu mkubwa wa kuhakikisha ustawi wa mwanamke wake kwa hali zote kiuchumi, kihisia, na kijamii. Leo acha nitumie uwanja huu…

Read More

Haisaidii kumnyanyasa aliyezaa bila ya ndoa

Simulizi ya Recho, mama wa mtoto mmoja, niliyezungumza naye wiki iliyopita inawakilisha ugumu mkubwa wanaoupitia wanawake wengi wanaolea watoto peke yao. Ingawa kumtunza mwanawe si jambo linalomsumbua, lakini upweke wa kihisia unaathiri vikali ustawi wa afya yake ya akili. Hili linachangiwa na tabia ya jamii yetu kuwahukumu kwa kuwachukulia kama watu wasiostahili upendo wala ndoa…

Read More

Mambo yanayosababisha usifurahie ndoa yako

Yapo mambo kadha wa kadha yanayosababisha watoto wa Mungu washindwe kufurahia maisha ya ndoa na wengine nyumba zao zikigeuka kituo cha polisi au uwanja wa vita. Ukiwa ndani ya Yesu Kristo uliye wa Kristo kuna mambo kadhaa unapaswa kuyafanya ili usiingie kwenye mtego wa ndoa isiyo na furaha. Msingi mbaya wa ndoa yenu Msingi wa…

Read More