Wajumbe CCM watupiwa zigo la uteuzi

Dar/Mikoani. Mzigo wa kuamua kina nani wanastahili kupigiwa kura za maoni kutafuta wa kupeperusha bendera ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi ya ubunge na uwakilishi umerejeshwa kwa wajumbe, baada ya chama hicho kufanya marekebisho madogo ya katiba yake. Marekebisho hayo katika Ibara ya 103(7) f, sasa yanaipa kamati kuu wigo mpana wa kufikiria na…

Read More

EMEDO Yatoa Elimu ya Usalama wa Maji kwa Watoto Kawe

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv KATIKA kuadhimisha Siku ya Kuzuia Kuzama Maji Duniani, Shirika la EMEDO kwa kushirikiana na mradi wake wa Lake Victoria Drowning Prevention Project (LVDPP) limefanya kampeni ya utoaji elimu kwa wanafunzi katika Shule ya Msingi Ukwamani jijini Dar es Salaam, likisisitiza umuhimu wa elimu ya kujiokoa na hatua za tahadhari dhidi…

Read More

Dk Kitine azikwa, Jaji Warioba aeleza atakavyokumbukwa

Dar es Salaam. Mwili wa Dk Hassy Kitine, aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) umezikwa, huku waombolezaji wakieleza watakayoyakumbuka kutoka kwake, ukiwamo uzalendo wake kwa Taifa. Dk Kitine (82) aliyefariki dunia akiwa usingizini usiku wa kuamkia Julai 25, 2025 akiwa nyumbani kwake Oysterbay, amezikwa leo Julai 26 katika makaburi ya…

Read More