Mrithi wa Shomary huyu hapa!

UONGOZI wa KMC FC, uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya beki wa kushoto wa kikosi cha Tanzania Prisons, Samson Mwaituka, kwa lengo la kuchukua nafasi ya Rahim Shomary aliyejiunga na Ghazl El Mahalla ya Misri. Samson alionyesha uwezo mkubwa na timu hiyo ya maafande kwa msimu wa 2024-2025, baada ya kuaminiwa kikosi cha kwanza…

Read More

Vipaji vya mastaa Bara nje ya soka

NYAKATI za sayansi na teknolojia kama mtu anataka kipaji chake kiende mbali anahitaji ubunifu na kujua mashabiki wake wanahitaji kitu gani. Ndivyo ilivyo kwa baadhi ya wanasoka wanaoweza wakapata mamilioni nje ya kazi hiyo. Kupitia mitandao ya kijamii kama Instagram, TikTok, Facebook na mingineyo inaweza ikawatoa kwa kuziposti kazi zao ilimradi zipendwe na kupokewa na…

Read More

Ramovic achomoa mtu Yanga | Mwanaspoti

Pale Yanga kuna watu wa maana kabisa, kwani kila kocha aliyeifundisha timu hiyo misimu ya karibuni na kuondoka, amesepa akiwa na vichwa ambavyo kokote atakakokwenda anatamani kupiga navyo kazi. Alianza Nasrredine Nabi aliyepo Kaizer Chiefs kwa sasa, Miguel Gamondi yupo Singida Black Stars aliyefuatiwa na Sead Ramovic anayeinoa CR Belouizdad kisha Miloud Hamdi aliyepo Ismailia…

Read More

Ridhiwani aeleza tatizo la vijana kwenye mikopo

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amezitaka taasisi za kifedha kuwajengea uwezo vijana ili wawe na sifa ya kukopesheka, akisema tatizo la vijana wengi nchini ni kukosa nidhamu ya fedha. Amesema kijana anapopata fedha hutumia nje ya malengo kusudiwa kutokana na kukosa nidhamu…

Read More

Misaada ya afya WHO kushuka kwa asilimia 40

Dar es Salaam. Msaada rasmi wa maendeleo kwa ajili ya afya (ODA) unaotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) unaweza kushuka na kufikia kiwango cha chini zaidi kwa muongo mmoja. Msaada wa afya unakadiriwa kupungua kwa hadi asilimia 40 mwaka 2025 ikilinganishwa na viwango vya mwaka 2023, kutoka zaidi ya Dola bilioni 25 (sawa na…

Read More

INEC yapuliza kipenga uchaguzi mkuu

Dodoma/Dar. Wakati Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imeweka hadharani kalenda ya uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kwa mwaka 2025, wadau wa siasa nchini wamesema ni muhimu ikafuatwa na kila chama kipewe haki kwa mujibu wa sheria. Wamesema uwepo wa kalenda ya uchaguzi unawaweka katika nafasi nzuri ya kushiriki mchakato huo, kwani…

Read More

Arusha kinara matukio ya ukatili kwa watu wazima

Dar es Salaam. Mkoa wa kipolisi Arusha umetajwa kuongoza miongoni mwa mitano iliyoripotiwa kuwa na matukio mengi ya ukatili kwa watu wazima. Hali hiyo ni kwa mujibu wa ripoti za uhalifu na usalama barabarani kuanzia Januari hadi Desemba 2024, iliyochapishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS). Kati ya matukio 23,782 yaliyorekodiwa mwaka 2024, mkoa…

Read More