
Manyama kuibukia Mtibwa | Mwanaspoti
BAADA ya kumalizana na Singida Black Stars, Edward Charles anatajwa kujiunga na Mtibwa Sugar iliyopanda Ligi Kuu Bara msimu huu. Manyama ambaye alishawahi kukipiga Azam FC aliitumikia Singida Black Stars kwa mkataba wa mwaka mmoja na alijiunga nayo akitokea Azam FC aliyoitumikia kwa misimu miwili. Chanzo cha kuaminika kutoka Mtibwa Sugar kimeliambia Mwanaspoti kuwa mazungumzo…