Manyama kuibukia Mtibwa | Mwanaspoti

BAADA ya kumalizana na Singida Black Stars, Edward Charles anatajwa kujiunga na Mtibwa Sugar iliyopanda Ligi Kuu Bara msimu huu. Manyama ambaye alishawahi kukipiga Azam FC aliitumikia Singida Black Stars kwa mkataba wa mwaka mmoja na alijiunga nayo akitokea Azam FC aliyoitumikia kwa misimu miwili. Chanzo cha kuaminika kutoka Mtibwa Sugar kimeliambia Mwanaspoti kuwa mazungumzo…

Read More

Mwijage azikwepa mbili na kutua KMC

BAADA ya kuhusishwa na Pamba Jiji na Mtibwa Sugar aliyekuwa winga wa Kagera Sugar iliyoshuka Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Erick Mwijage amejiunga na KMC. Winga huyo ambaye alikuwa anahusishwa kujiunga na Pamba Jiji na Mtibwa Sugar amefikia makubaliano ya kusaini mkataba wa kuitumikia KMC kwa mkataba wa miaka miwili. Mwanaspoti limethibitishiwa na mmoja ya…

Read More

Kyombo ajiandaa kutua Mbeya City

MABOSI wa Mbeya City wanasuka kikosi chao kimyakimya kwa ajili ya kuleta ushindani msimu ujao wa 2025-2026 na kwa sasa wako hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji nyota wa Pamba Jiji, Habib Kyombo. Nyota huyo aliyejiunga na Pamba kwa mkopo dirisha dogo la Januari 2025, akitokea Singida Black Stars, alivunja mkataba wake…

Read More

Yanga kutikisa Mbeya na makombe

JIJI la Mbeya linatarajia kusimama kwa muda kupisha sherehe ya wanachama na mashabiki wa Yanga watakapopokea makombe iliyochukua msimu uliopita, shughuli ambayo itafanyika katika fukwe za Matema (Matema Beach) wilayani Kyela mkoani hapa. Katika msimu uliopita Yanga ilitwaa ubingwa ukiwa wa nne mfululizo, huku ikiweka rekodi tamu ya kubeba mataji matano ikiwa ni Ligi Kuu…

Read More

Viongozi wawili wa zamani wa Militia katika Jamhuri ya Afrika ya Kati walihukumiwa uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu-maswala ya ulimwengu

Alfred Yekatom na Patrice-Edouard Ngaïssona walipokea kifungo cha miaka 15 na 12 kwa majukumu yao katika shambulio la kikatili dhidi ya raia -Kimsingi kutoka kwa idadi ya watu wa Kiislamu wa Kiislamu-wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya 2013-14. Walikuwa kupatikana na hatia “Zaidi ya shaka yoyote inayofaa” ya kuongoza na kuwezesha mashambulio kwa…

Read More