Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 38
Habari

Matumaini mapya CCM ikipanga kuja na chombo huru cha uchunguzi wa uhalifu

July 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mabadiliko makubwa katika mfumo wa haki jinai yanaweza kutokea nchini Tanzania ikiwa pendekezo la Chama cha Mapinduzi (CCM) la kuanzisha mamlaka mpya

Read More
Michezo

Namungo FC yamrejesha Kikoti | Mwanaspoti

July 8, 2025 Admin

MABOSI wa Namungo wameamua kumrejesha nyumbani kiungo mnyumbulifu, Lucas Kikoti ambaye msimu uliopita alikuwa akicheza Coastal Union. Kikoti alijiunga na Coastal Union msimu wa 2023/24

Read More
Habari

ACT Wazalendo Mbeya yaongeza muda uchukuaji, urejeshaji fomu

July 8, 2025 Admin

Mbeya. Chama Cha ACT Wazalendo Mkoa wa Mbeya kimesogeza muda wa kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi hadi Julai 20, badala ya iliyokuwapo

Read More
Habari

CHUO KIKUU CHA DODOMA CHATOA ELIMU KWA UMMA MAONESHO YA SABASABA

July 8, 2025 Admin

  Wananchi wameendelea kujitokeza kwa wingi kwenye Banda la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali zinazotelewa hapa katika Viwanja vya

Read More
Michezo

Wanafunzi walioduwaza wakongwe kikapu taifa

July 8, 2025 Admin

KAMA una malengo ya kufanya vizuri katika mashindano cha kwanza unatakiwa ufanye maandalizi ya kutosha na uwe na  wachezaji wenye uwezo mkubwa. Hicho ndicho ilichofanya

Read More
Michezo

Chama la Wana lina dakika 90 Tanzanite Kwaraa

July 8, 2025 Admin

Stand United ‘Chama la Wana’, ina dakika 90 ngumu za kupindua meza, itakapokuwa ugenini leo Jumanne katika mechi ya marudiano ya ‘Play-Off’ kucheza Ligi Kuu

Read More
Michezo

Simba yavamia dili la Ecua Yanga

July 8, 2025 Admin

HUENDA hii isiwe taarifa nzuri kwa mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wakianza kuchekelea chinichini baada ya kuwahabarisha juu ya dili la straika wa ASEC Mimosas

Read More
Michezo

Yanga yafanya jambo kwa kiungo wa Ivory Coast

July 8, 2025 Admin

MABOSI wa Yanga hawataki utani. Hilo limeonekana baada kuamua jambo kuhusiana na kiungo mshambuliaji raia wa Ivory Coast. Yanga imeshinda mataji yote ya ndani iliyoshiriki

Read More
Michezo

Gamondi aanza na kipa wa Simba

July 8, 2025 Admin

Singida Black Stars iliyopo chini ya Kocha Miguel Gamond, imedaiwa iko katika mazungumzo ya kuipata saini ya kipa wa Simba, Hussein Abel baada ya nyota

Read More
Habari

TUME YA USHINDANI (FCC), KUTUMIA FURSA YA MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA KIMATAIFA (SABASABA) KWA KUTOA ELIMU KWA UMMA

July 8, 2025 Admin

  Bi. Roberta Feruzi, Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano kwa Umma akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea banda la (FCC) kuhusu kununua bidhaa sahihi

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 37 38 39 … 95 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.