Kante, Msauzi wapewa siku 28 Simba

KLABU ya Simba imeanza rasmi maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26 kwa kuondoka nchini jana Jumatano kwenda Ismailia, Misri kwa kambi ya wiki nne ikiwa ni sawa na siku 28 ili kunoa makali ya nyota wa kikosi hicho wakiwamo wapya Alassane Kante na beki Msauzi, Rushine De Rueck. …

Read More

TTB yaja ya tinga Chan, tinga Tanzania

SAA 48 kabla ya fainali za Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 kuanza rasmi kwa mechi ya ufunguzi itakayofanyika kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imezindua kampeni maalumu ya fainali hizo zitakazomalizika Agosti 20. Fainali hizo za nane zinazofanyika kwa mara ya kwanza Afrika Mashariki ikiandaliwa…

Read More

Serikali yaonya wakuu wa taasisi kuwa miungu watu

Dar es Salaam. Serikali imewataka wakuu wa taasisi za umma kujiepusha kuwa miungu watu na badala yake watengeneze mazingira rafiki ya kazi yatakayowawezesha kuongeza tija na ubunifu katika utekelezaji wa majukumu yao. Hiyo ni kwa sababu usimamizi mzuri wa rasilimali watu ndiyo njia itakayowasaidia kuongeza ufanisi wa taasisi walizoaminiwa kuziongoza. Wito huo umetolewa na Waziri…

Read More

Na Gaza Smoldering, Mawaziri wanasasisha kushinikiza suluhisho la serikali mbili katika UN-Maswala ya Ulimwenguni

Mkutano wa Kimataifa wa Kimataifa wa Makazi ya Amani ya swali la Palestina na utekelezaji wa Suluhisho la Jimbo mbili Ilifanyika New York kutoka Julai 28 hadi 30. Merika na Israeli hazikushiriki. Ufaransa na Saudi Arabia, viti vya mkutano huo, vilitaka nchi zote wanachama wa UN kuunga mkono tamko likihimiza hatua za pamoja kumaliza vita…

Read More

Devotha na Samira waibuka washindi Uchaguzi wa UWT Kagera

 Na Diana Byera, Bukoba Devotha Daniel Mburarugaba na Samira Khalfani Amour wameibuka washindi kati ya wagombea nane walioshiriki katika uchaguzi wa kura za maoni nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoa wa Kagera kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT). Akitangaza matokeo hayo, Msimamizi wa uchaguzi huo ambaye pia ni mjumbe wa Baraza Kuu UWT Taifa,…

Read More

UJUMBE KUTOKA MSUMBIJI WATEMBELEA WIZARA YA ARDHI

Na Munir Shemweta, WANMM Ujumbe kutoka nchini Msumbiji umetembelea Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa lengo la kubadilishana uzoefu katika masuala yanaohusu sekta ya ardhi. Ujumbe huo wa watu tisa ukiongozwa na Mkurugenzi anayehusika na masuala ya Ardhi na Mipango Maalum wa Wizara ya Kilimo, Mazingira na Uvuvi nchini Msumbiji (MAAP) Bw….

Read More

AMINA GOOD AONGOZA KWA KURA 421 KATI YA KURA 768.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Amo Foundation Tanzania Amina Good Said ameongoza kwa kura 421 kati ya kura 768. Akizungumza mara baada ya kutangazwa matokeo hayo na Msimamizi wa uchaguzi huo katika Mkutano Mkuu Maalum wa Mkoa wa Dar es salaam Amina, amewashukuru wapiga kura kwa kuwa na imani naye na kuhakikisha wanawake wanashiriki vema kutafuta…

Read More