
July 2025


‘Bora zaidi ya wanadamu mahali pa kuachwa na ubinadamu’ – maswala ya ulimwengu
Sonia Silva amekuwa akifanya kazi katika enclave iliyoingiliana tangu mwanzoni mwa Novemba 2023, mwezi mmoja tu baada ya shambulio la kigaidi la Hamas na vikundi vingine vya silaha kusini mwa Israeli ambayo ilizua mzozo huo wa kikatili. Aliongea na Habari za UN Kuhusu shida ambazo watu wamepata katika siku za hivi karibuni. “Katika mwaka wangu…

Kocha Mbelgiji akiri Yanga imepata jembe!
KIKOSI cha Yanga inaendelea kusukwa kwa mashine mpya zikitambulishwa sambamba na wale waliokuwapo katika kikosi cha msimu uliopita wakiongezewa mikataba kama alivyofanyiwa Danis Nkane, Mudathir Yahya na Pacome Zouzoua, lakini kuna mido mmoja aliyetua ghafla Jangwani. Ndio, Yanga imeshakamilisha dili la kiungo Lassine Kouma ambaye wakati wowote kuanzia leo ataanza safari ya kuja nchini kufanyiwa…

Mkongwe Yanga amtaja Bacca | Mwanaspoti
STAA wa zamani wa Yanga, Ladslaus Mbogo ameshindwa kuficha hisia alizonazo, akimtaja beki wa kati wa timu hiyo, Ibrahim Bacca kuwa mchezaji anayetikisa katika nafasi hiyo kwa miaka ya sasa, huku akilia na soka la Mwanza. Mbogo aliyewahi kutamba na timu hiyo kwa mafanikio, akicheza pia soka la kulipwa nje ya nchi kwa kukipiga Olympique…

Mpanzu arejea Simba kibosi, mchongo mzima upo hivi
NYOTA w Simba wameanza kurejea kutoka mapumzikoni ili kuanza maandalizi ya msimu mpya wa mashindano wa 2025-2026, huku kiungo mshambuliaji, Ellie Mpanzu akishtua zaidi kwa kurudi kibosi. Nyota huyo raia wa DR Congo aliyejiunga na Simba kupitia dirisha dogo la msimu uliopita na kuhusika katika mabao 10, akifunga manne na kuasisti sita alikuwa akitajwa huenda…

Katika anwani ngumu ya haki za binadamu, Guterres inataka hatua za haraka juu ya Gaza, udikteta na haki ya hali ya hewa-maswala ya ulimwengu
Kukumbuka uzoefu wake mwenyewe anayeishi chini ya udikteta nchini Ureno, Bwana Guterres aliwaambia washiriki katika mkutano wa kimataifa wa haki za kimataifa za Amnesty International mnamo Ijumaa kwamba mapigano ya haki za binadamu ni “muhimu zaidi kuliko hapo awali”. Alitoa wito kwa majimbo kutekeleza sheria za kimataifa na kutetea haki za binadamu “mara kwa mara…

Milioni 1.3 kurudi nyumbani kwa Sudan, kutoa tumaini dhaifu la kupona – maswala ya ulimwengu
“Maelfu ya watu wanaotafuta kurudi nyumbani wanaendeshwa na tumaini, ujasiri na uhusiano wa kudumu kwa nchi yao,” alisema Othman Belbeisi, Mkurugenzi wa Mkoa ya Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM). Wakati maendeleo haya yanatoa tumaini, wengi wa watu hawa wanarudi katika majimbo na miji ambayo rasilimali zao zimeharibiwa na zaidi ya miaka miwili ya vita….

KAMATI YA KUSIMAMIA MADALALI WA MABARAZA YA ARDHI YAKAGUA KAMPUNI ZA UDALALI DSM
Na Munir Shemweta, WANMM Mwenyekiti wa Kamati ya Kusimamia Uteuzi na Nidhamu ya Madalali wa Mabaraza ya Ardhi nchini ambaye ni Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Mhe. Suzan Kihawa ameongoza kamati yake kufanya ukaguzi wa kawaida kwenye ofisi na maghala ya kampuni za udalali kuangalia utekelezaji wa shughuli za madalali wa mabaraza ya ardhi. Ukaguzi…

Afikishwa kortini akidaiwa kutapeli Sh62 milioni
Dar es Salaam. Mfanyabiashara Shafii Mkwepu(46) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu mashtaka mawili likiwemo la kujipatia Sh62 milioni kwa njia ya udanganyifu. Mkwepu amefikishwa mahakamani hapo leo, Julai 25, 2025 na kusomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki. Wakili wa Serikali, Frank Rimoy alidai kuwa mshtakiwa anakabiliwa na kesi…

Rais Samia kuzindua SGR ya mizigo
Dar es Salaam. Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema Rais Samia Suluhu Hassan atazindua reli ya kisasa ya mizigo (SGR) pamoja na kupokea mabehewa 70 yatakayotumiwa na reli ya zamani (MGR). Mabehewa hayo yatajumuisha mapya 50 na mengine 20 yaliyofanyiwa ukarabati na yatatumiwa na reli ya zamani kufanya shughuli za usafirishaji wa mizigo. Hayo…