Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 41
Michezo

Walibya wampandia dau Aziz KI

July 7, 2025 Admin

LILE dili la kiungo mshambuliaji Stephane Aziz KI pale Wydad Athletic limeingia mdudu baada ya kocha wa timu hiyo kutaka akatwe na akikatwa anarejea Yanga,

Read More
Michezo

Simba, Yanga zaongezewa noti Afrika

July 7, 2025 Admin

KLABU zinazoshiriki mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, zikiwamo Simba na Yanga za Tanzania Bara na Mlandege ya visiwani Zanzibar zimeongezewa neema baada ya Shirikisho

Read More
Habari

WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA

July 6, 2025 Admin

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bila kusajiliwa, ikibainisha kuwa

Read More
Habari

GASSHUKU 2025 LA JUNDOKAN TANZANIA LAFANA JIJINI DAR

July 6, 2025 Admin

  Wanafunzi na wakufunzi wa Jundokan Karate Do Tanzania leo Jumapili, Julai 6, 2025, wameungana katika Gasshuku – yaani semina maalum ya karate – iliyofanyika

Read More
Habari

Benki ya Dunia: Wanaotumia chini ya Sh7,834 kwa siku ni maskini kupindukia

July 6, 2025 Admin

Dar es Salaam. Benki ya Dunia (WB) imetangaza marekebisho ya kiwango cha kimataifa cha umaskini, ikipandisha kiwango cha chini kutoka Dola 2.15 za Marekani kwa

Read More
Habari

Rais Samia akipigia debe Kiswahili Comoro, aahidi msaada wa walimu, vifaa

July 6, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Kiswahili ndicho lugha pekee ya Kiafrika inayoweza kuunganisha watu wa bara zima katika nyanja za mawasiliano, elimu

Read More
Habari

SHERIA ZILIZOTAFSIRIWA KWA KISWAHILI KUTOLEWA AGOSTI

July 6, 2025 Admin

TOLEO la Sheria ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili zinatarajiwa kuanza kutoka ifikapo Agosti mwaka huu ikiwa baada ya hivi karibuni Rais Samia Suluhu Hassan

Read More
Habari

Vijana wa Gen-Z Kenya, waanzisha chama chao cha siasa

July 6, 2025 Admin

Kenya. Vijana wa Kenya, maarufu Gen-Z wameanzisha chama chao cha siasa walichokipa jina la ’47 Voices of Kenya Congress’ ambacho tayari kimeingia kwenye uwanja wa

Read More
Michezo

Kutojua sheria kigingi wanasoka wa kike

July 6, 2025 Admin

Licha ya kutotekelezwa sheria ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kuhusu haki za wachezaji wa kike wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua, uchunguzi

Read More
Habari

Zanzibar yaanza kukusanya takwimu za uwiano wa kijinsia

July 6, 2025 Admin

Unguja. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar (OCGS), kwa kushirikiana na wadau wengine wakiwemo Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa) Zanzibar, wameanza kuandaa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 40 41 42 … 88 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.