Mtoto wa Dk Kitine asimulia baba yake alivyofariki

Dar es Salaam. Ibrahim Kitine ambaye ni Kijana wa Dk Hassy Kitine amesimulia dakika za mwisho za baba yake aliyefariki akiwa usingizini usiku wa kuamkia leo Kitine aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) amefariki usiku wa kuamkia leo Julai 25, 2025 akiwa nyumbani kwake Osterbay, Mtaa wa Laiboni 24, jijini hapa….

Read More

Dk Hassy Kitine afariki dunia, kuzikwa kesho Dar

Dar es Salaam. Tanzania imeondokewa na mmoja wa mashujaa wake, Dk Hassy Kitine, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) tangu 1978 hadi 1980. Alikuwa pia mshauri wa karibu wa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere na mmoja wa viongozi waliokuwa na uelewa mkubwa wa masuala ya usalama na ukombozi wa…

Read More

Sh19.9 bilioni zatolewa ujenzi wa stendi mpya Babati

Babati. Serikali imetoa Sh19.9 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa kituo kipya cha mabasi katika eneo la Makatani mjini hapa mkoani Manyara. Ujenzi wa kituo kipya cha mabasi utasababisha faraja kwa watu wa Babati, ambao kwa muda mrefu walitamani ujenzi mpya ili kuchochea uchumi wa eneo hilo. Mkuu wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amelieleza…

Read More

Dira 2050 kuwakutanisha washiriki 300 Saut Mwanza

Mwanza. Zaidi ya washiriki 300 wanatarajiwa kushiriki kwenye kongamano la kitaaluma kuhusu nafasi ya ubia katika kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, litakalofanyika katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (Saut) jijini Mwanza. Kongamano hilo linaloratibiwa kwa ushirikiano kati ya Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia Tanzania (Redet) na Kituo cha…

Read More