Samia alivyoongoza kumbukumbu ya mashujaa

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan amewaongoza Watanzania kuadhimisha Siku ya Mashujaa. Baada ya kuwasili katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba, mkoani Dodoma yalikofanyika maadhimisho hayo leo Julai 25, 2025 Rais Samia amepokewa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob Mkunda. Kisha ilitolewa salamu ya heshima kwa Rais ikifuatiwa na wimbo wa…

Read More

RC Babu akemea ngono zembe, ataka jamii kuchukua tahadhari

Moshi. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (RC), Nurdin Babu ameitaka jamii kuendelea kuchukua tahadhari kwa kuacha ngono zisizo salama na kutumia kinga ili kuepuka na au kupunguza maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi (HIV): ’’Kwani ugonjwa huu bado upo’’ RC Babu amesema hatua hiyo itaondoa unyanyapaa na kupunguza vifo kufikia mwaka 2030. Mkuu huyo wa…

Read More

WAJUMBE WA KAMATI JUMUISHI YA UENDESHAJI PROGRAMU YA MIFUMO HIMILIVU YA CHAKULA ‘TFSRP’ WAKUTANA PEMBA

Wajumbe wa Kamati Jumuishi ya Uendeshaji wa Programu ya Mifumo Himilivu ya Chakula (TFSRP) wamekutana katika Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba, kwa lengo la kujadili utekelezaji wa programu hiyo inayolenga kuimarisha usalama wa chakula kwa kutumia teknolojia rafiki kwa mazingira. Akizungumza wakati wa kikao hicho, Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye pia ni Katibu…

Read More

Mwashinga msimu ujao ni Pamba au Namungo

PAMBA Jiji na Namungo FC zimeingia vitani kuiwinda saini ya kiungo, James Mwashinga ambaye kwa sasa ni mchezaji huru, huku ikielezwa tayari mawasiliano na kambi ya mchezaji huyo yameanza tangu msimu huu ulipoisha. Nyota huyo aliitumikia Pamba msimu wa 2024-2025 na kukiwezesha kikosi hicho kumaliza nafasi ya 11 na pointi 34 na alisaini mkataba wa…

Read More

John Simkoko atoa neno Mtibwa Sugar

KOCHA mkongwe anayeshikilia rekodi ya kuwa kocha mzawa aliyebeba mataji kwa misimu miwili mfululizo, John Simkoko amesema tayari Mtibwa Sugar itakuwa imepata funzo kujua kipi kiliishusha msimu wa 2023/24 na anatarajia kuona itarejea msimu ujao kwa nguvu kubwa na ushindani wa ligi. Simkoko aliyewahi kuifundisha timu hiyo miaka ya nyuma, ndiye aliyeipa ubingwa wa Ligi…

Read More

Azam FC, Chivaviro kuna kitu kinaendelea

MABOSI wa Azam FC wanadaiwa wanaendelea kufanya mambo yao kimyakimya katika kuimarisha kikosi cha msimu ujao wa mashindano, wakidaiwa kwa sasa wapo katika mazungumzo na straika mmoja matata anayejua kufumania nyavu kutoka Afrika Kusini. Azam ambayo hivi karibuni ilimtambulisha kocha mkuu mpya, Florent Ibenge kisha kushusha mashine kadhaa za maana, ikiwamo kumrejesha kiungo mkabaji wa…

Read More

CCM YAITISHA MKUTANO KIDIGITALI

…………  Na Ester Maile Dodoma  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitisha mkutano mkuu maalum kwa njia ya mtandao kesho Julai 26 huku ajenda kuu ikitajwa kuwa ni marekebisho madogo ya Katiba. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi na Mafunzo Amos Makala, amesema hayo leo Julai 25, jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi…

Read More

Yajue manufaa, fursa za kituo cha biashara Ubungo

Dar es Salaam. Wakati Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Ubungo (EACLC) kikitarajiwa kuzinduliwa Agosti 2 mwaka huu, Serikali imeeleza faida za kiuchumi zitakazopatikana. Miongoni mwa faida hizo ni kodi zitakazokusanywa kila mwaka, kukuza uuzaji wa bidhaa za ndani katoka masoko ya nje, kujenga uhusiano wa kibiashara na nchi jirani na kukuza biashara kati ya…

Read More

Rais Dkt. Samia] Ashiriki Maadhimisho ya Mashujaa Kitaifa katika viwanja vya Mashujaa, Mtumba Jijini Dodoma

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati wimbo wa Taifa ana ule wa Afrika Mashariki ukiimbwa katika Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mashujaa katika uwanja wa Mashujaa, Mtumba Jijini Dodoma tarehe 25 Julai, 2025.  Matukio mbalimbali kwenye Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu…

Read More