TotalEnergies Yapanua Mradi wa VIA Creative Kufikia Wanafunzi wa Sekondari

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Katika kuimarisha usalama wa wanafunzi barabarani, kampuni ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited kwa kushirikiana na TotalEnergies Foundation na NafasiArt Space, wamezindua rasmi mradi wa VIA Creative kwa mwaka 2025 ambao unatumia sanaa ya muziki, maigizo na njia bunifu kuelimisha na kuwahamasisha wanafunzi kuhusu usalama barabarani. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi…

Read More

Dosari zamwokoa kwenye adhabu ya kifo

Arusha. Mahakama ya Rufaa imebatilisha mwenendo wa kesi na kufuta adhabu ya kunyongwa hadi kufa aliyohukumiwa Ludan Lyimo, aliyetiwa hatiani kwa mauaji. Uamuzi huo unatokana na kubainika dosari za kisheria zilizojitokeza wakati wa usikilizwaji wa kesi. Ludan na Abelly Lyimo, walishtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, wakidaiwa kumuua Florid Lyimo katika Kijiji cha Mbomai…

Read More

RAIS DKT. SAMIA KUWA MGENI RASMI KATIKA UZINDUZI WA KITUO CHA KISASA CHA BIASHARA NA USAFIRISHAJI- UBUNGO, DAR

Mkurugenzi Mkuu- Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), Gilead Teri akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Julai 25, 2025 skuelekea uzinduzi wa Kituo cha Biashara na Usafirishaji cha Kisasa (EACLC), takayofanyika Agosti 2, 2025, katika eneo la mradi lililopo Ubungo jijini Dar es Salaam.  Katibu kutoka Idara ya…

Read More

Mke jela kwa kumjeruhi mumewe kwa panga

Mufindi. Mahakama ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela Shukrani Jafeti (30), mkazi wa Mtaa wa Lumwago baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumjeruhi kwa panga mumewe, Shadrack Mtokoma. Hukumu imetolewa Julai 23, 2025 na Hakimu Mkazi, Edward Uphoro aliyesikiliza kesi hiyo. Katika kesi hiyo ambayo nakala ya hukumu …

Read More