Naikumbuka Novemba 27, 2015. Imesalia miezi minne na zaidi ya siku 23, itimie miaka 10. Siku hiyo, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikuwa na siku nane tu
Month: July 2025

Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametajwa na kupongezwa na mawaziri wanaoshughulikia masuala ya Nishati na Maji wa

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imewaondoa wapigakura 3,352 kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kupoteza sifa. Wakati ZEC ikieleza hayo, wadau wa vyama

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule amesema pamoja Serikali kufanya kazi kubwa hasa katika Sekta ya Afya ikiwemo

……………. Lugha ya kiswahili na utamaduni wa mtanzania vimeendelea kuwa kivutio kikubwa kwa wageni mbalimbali wa kimataifa waliotembelea banda la Tanzania katika Wiki ya utamaduni

Yasisitiza utekelezaji wa miradi ya kipaumbele ya Nishati Kapinga ataka SADC kuweka dhamira thabiti na mikakati madhubuti ya utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya

..,………. Na Ester Maile Dodoma Bilioni 30 zimekusanywa kutoka kwenye shughuli mbalimbali na kuongeza pato katika mkoa wa Singida kwa kipindi cha miaka minne. Hayo

Fountain Gate imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kubaki Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Stand United kwenye mchezo

WANAWAKE nchini Tanzania wanatarajia kunufaika kwa kiasi kikubwa na ubunifu mpya uliobuniwa na wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS),

WATOTO wengi wanaozaliwa na tatizo la mgongo wazi (spina bifida) hukumbwa na hali ngumu ya maisha kutokana na kupooza kuanzia kiunoni, hali inayowanyima uwezo wa