Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kipigo Bukombe

Geita. Mwanamke mmoja, Manila Kiselya (48) Mkazi wa Kitongoji cha Majengo, Kata ya Katente wilayani Bukombe, amefariki dunia baada ya kudaiwa kushambuliwa kwa kipigo na mume wake kutokana na kugoma kumpa fedha alizokopa kwa ajili ya biashara. Inadaiwa mwanamke huyo alikopa fedha kwenye moja ya taasisi za fedha ili kuongeza mtaji wa biashara yake lakini…

Read More

Majanga kwa Elon Musk, utajiri wake waporomoka

New York, Marekani. Bilionea namba moja duniani Elon Musk amepoteza zaidi ya Dola za Marekani bilioni 12 (zaidi ya Sh29 trilioni za Kitanzania) ndani ya saa 24, baada ya kampuni yake ya magari ya umeme, Tesla, kutangaza kushuka kwa mapato yake kwa kiwango cha kihistoria. Ripoti ya fedha ya robo ya pili ya mwaka 2025…

Read More

Mghana aingia anga za Azam FC

MABOSI wa Azam FC wanafanya maboresho ya timu hiyo kwa ajili ya kuhakikisha msimu ujao wanaleta ushindani mkubwa, ambapo kwa sasa inadaiwa wameanza mazungumzo ya kuiwinda saini ya beki wa kushoto wa Singida Black Stars, Mghana Ibrahim Imoro. Imoro aliyejiunga na timu hiyo Julai 1, 2024, inaelezwa ni pendekezo la kocha mpya wa kikosi hicho,…

Read More

Maafande wa JKT Tanzania kumng’oa beki Yanga

MAAFANDE wa JKT Tanzania wapo siriazi na usajili wa beki kinda wa Yanga, Isack Mtengwa, ikielezwa wanajeshi hao wako katika mpango wa kuvunja mkataba ili kumnunua moja kwa moja. Msimu uliopita, nyota huyo aliichezea Wakiso Giants ya Uganda kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Yanga U-20, akiungana na beki mwenzake Shaibu Mtita. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

EMEDO YAZINDUA TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA MAJINI, WATAALAMU WATAKA TAKWIMU ZA KITAIFA.

 Na Karama Kenyunko – Michuzi TV KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo kwa Kuzama Duniani inayofanyika kila Julai 25, Shirika la Environmental Management and Economic Development Organisation (EMEDO) limezindua tuzo maalum kwa ajili ya kutambua mchango wa waandishi wa habari katika kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu usalama wa majini. Uzinduzi huo umeenda sambamba…

Read More

Mapya yaibuka mitishamba kutibu nguvu za kiume

Dar es Salaam. Inaweza  ikawa sio taarifa njema sana kwa wale jamaa wa ‘ kujibusti’ yaani wanaotumia dawa za kuongeza nguvu za kiume. Watu hawa wengi wao wakiwa vijana wamekuwa wakikimbilia kutumia dawa za asili za kuongeza nguvu wakiamini zina ufanisi mkubwa.  Hata hivyo, utafiti mpya umebaini dawa nyingi za asili huchanganywa na dawa nyingine…

Read More

Singida Black Stars yafuata kiungo Ivory Coast

MABOSI wa Singida Black Stars wanaendelea kuvuta majembe ya msimu ujao, ikijapanga kumalizana na kiungo mshambuliaji wa Zoman FC, Idrissa Diomande ‘Yaya Toure’ kutoka Ivory Coast. Rekodi zinaonyesha kiungo huyo ambaye ameichezea Zoman FC kwa miaka miwili, amemaliza kibabe msimu uliopita kwa kufunga mabao tisa na kupewa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa klabu…

Read More

Sowah atulize kichwa pale Msimbazi

KAMA kweli Simba imemsajili Jonathan Sowah, basi watu wa mpira tunakubaliana imepata mshambuliaji ambaye analijua kweli goli na ni tishio kwa wapinzani. Jamaa anajua kufunga, pia anaweza kukaa katika nafasi na kufanya vitu vingine vya kishambuliaji anapolikaribia lango la timu pinzani kama vile kupindua mabeki na kuwanyima uhuru. Namba zake Ligi Kuu Bara msimu uliopita…

Read More