BAADA ya mabosi wa Pamba Jiji FC kumkosa mshambuliaji wa Mlandege, Abdallah Iddi ‘Pina’, katika dirisha dogo la Januari 2025, inaelezwa wameanza tena harakati hizo
Month: July 2025

Kamati ya Uchaguzi ya TFF Imewang’oa wagombea watano wa nafasi ya Urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kubaki na jina moja la Wallace

Mnamo Juni 30, Chile na Argentina ziliorodheshwa kati ya maeneo baridi zaidi duniani, nje ya mikoa ya polar. Serikali katika nchi zote mbili zilitoa maonyo

WANAFUNZI wa kata ya Mitimirefu wilayani Siha mkoani Kilimanjaro waliokuwa wakitembea umbali wa kilomita 15, kufuata shule ya sekondari Namwai wanaenda kuondokana na changamoto hiyo

Mwenge wa Uhuru 2025 umezindua Kituo cha Afya Kia wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kilichogharimu milioni 209. Akizungumza kiongozi wa mbio hizo za Mwenge, Ismail Ali

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Julai 04, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katik maadhimisho ya miaka kumi ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi

Songea_Ruvuma. Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Mkoa wa Ruvuma, Mrakibu wa Polisi Issa Milanzi, amewataka madereva wote mkoani humo kuhakikisha wanahakiki leseni zao kwa

Kigoma/Katavi. Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka Watanzania kuwa makini na watu wanaosaka ubunge akisema imefikia hatua wachekeshaji, wasanii na watangazaji

::::::: Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mhe. Makongoro Nyerere ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuwa karibu na Walipakodi na kutatua changamoto zao kwa

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuungana, kushikamana na kushirikiana kwa lengo la kuharakisha maendeleo, huku akisisitiza kuweka