Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 47
Michezo

Pamba yarejea kwa straika Mzenji

July 4, 2025 Admin

BAADA ya mabosi wa Pamba Jiji FC kumkosa mshambuliaji wa Mlandege, Abdallah Iddi ‘Pina’, katika dirisha dogo la Januari 2025, inaelezwa wameanza tena harakati hizo

Read More
Michezo

Wallace Karia mgombea pekee Urais TFF

July 4, 2025 Admin

Kamati ya Uchaguzi ya TFF Imewang’oa wagombea watano wa nafasi ya Urais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na kubaki na jina moja la Wallace

Read More
Kimataifa

Chile na Argentina kati ya maeneo baridi zaidi Duniani kama mkoa wa polar anticyclone – maswala ya ulimwengu

July 4, 2025 Admin

Mnamo Juni 30, Chile na Argentina ziliorodheshwa kati ya maeneo baridi zaidi duniani, nje ya mikoa ya polar. Serikali katika nchi zote mbili zilitoa maonyo

Read More
Habari

SERIKALI KUJENGA SHULE MPYA YA SEKONDARI MITI MIREFU..

July 4, 2025 Admin

WANAFUNZI wa kata ya Mitimirefu wilayani Siha mkoani Kilimanjaro waliokuwa wakitembea umbali wa kilomita 15, kufuata shule ya sekondari Namwai wanaenda kuondokana na changamoto hiyo

Read More
Habari

MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA AFYA KIA HAI.

July 4, 2025 Admin

Mwenge wa Uhuru 2025 umezindua Kituo cha Afya Kia wilayani Hai mkoani Kilimanjaro kilichogharimu milioni 209. Akizungumza kiongozi wa mbio hizo za Mwenge, Ismail Ali

Read More
Habari

MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAADHIMISHO YA MIAKA 10 YA WCF

July 4, 2025 Admin

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Julai 04, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katik maadhimisho ya miaka kumi ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi

Read More
Habari

RTO RUVUMA: MADEREVA HAKIKISHENI MNAHAKIKI LESENI ZENU.

July 4, 2025 Admin

Songea_Ruvuma. Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Mkoa wa Ruvuma, Mrakibu wa Polisi Issa Milanzi, amewataka madereva wote mkoani humo kuhakikisha wanahakiki leseni zao kwa

Read More
Burudani

Zitto atahadharisha Watanzania na watu wanaosaka ubunge

July 4, 2025 Admin

Kigoma/Katavi. Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amewataka Watanzania kuwa makini na watu wanaosaka ubunge akisema imefikia hatua wachekeshaji, wasanii na watangazaji

Read More
Habari

RC RUKWA AIPONGEZA TRA KWA KUWA KARIBU NA WALIPAKODI

July 4, 2025 Admin

::::::: Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mhe. Makongoro Nyerere ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kuwa karibu na Walipakodi na kutatua changamoto zao kwa

Read More
Habari

Tuweke Pembeni Tofauti, Tulete Maendeleo Buchosa – Global Publishers

July 4, 2025 Admin

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuungana, kushikamana na kushirikiana kwa lengo la kuharakisha maendeleo, huku akisisitiza kuweka

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 46 47 48 … 78 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.