Beki Simba Queens atimkia Misri

ALIYEKUWA beki wa Simba Queens, Violeth Nickolaus ameshajiunga na kikosi cha FC Masar kinachoshiriki Ligi ya Wanawake huko Misri. Violeth, aliyekuwa nahodha wa Simba Queens, aliondoka nchini juzi kujiunga na kambi ya timu hiyo inayoanza maandalizi ya mashindano ya kufuzu Ligi ya Mabingwa kwa wanawake yatakayoanza mapema mwezi ujao. Akizungumza na Mwanaspoti, mmoja wa watu…

Read More

Yanga sasa kutema kumi | Mwanaspoti

INAELEZWA Yanga Princess imeshawapa taarifa wachezaji 10 ambao hawataendelea nao msimu ujao, akiwamo kinara wa ufungaji, Neema Paul. Kwa mujibu wa Mratibu wa Yanga Princess, Kibwana Matokeo, kuelekea msimu ujao wanafanya marekebisho kwenye baadhi tu ya maeneo. Nyota hao ni Neema Paul aliyemaliza kinara wa mabao akiweka mabao 12, Danai Bhobho ambaye alitumikia Yanga kwa…

Read More

Yanga yampigia  hesabu Mtunisia | Mwanaspoti

YANGA leo jioni imetangaz akumuongezea mkataba wa miaka miwili, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Pacome Zouzoua, ikiwa ni sehemu ya kuboresha kikosi cha msimu ujao, lakini ikielezwa kwamba sio kwa wachezaji tu, bali hata katika benchi la ufundi nako kuna watu wanashushwa. Ndio, Yanga iliyomtambulisha kocha mpya, Romain Folz jana jioni, baada ya awali kumtambulisha…

Read More

Watoto wanavyouziwa, kula vyakula duni shuleni

Dar es Salaam. Mzazi unafahamu mtoto wako ananunua nini katika ile fedha unayompatia kila siku anapokwenda shule? Kwa kawaida watoto hupendelea kununua vitafunwa vyenye sukari nyingi, vinywaji kama juisi, soda, biskuti na vinginevyo, huku kinywaji cha kuongeza nguvu maarufu ‘energy drink’ kikiwa nacho kinapendelewa zaidi. Kwa mujibu wa  Ripoti ya ‘Utafiti wa Afya, Viashiria na…

Read More

Hijra ya Mtume tukio muhimu la Uislam-2

Makala iliyopita iliangazia historia kabla ya Hijra, mkakati wa Hijra, sababu za Mtume kuhama kutoka Makka kwenda Madina, matokeo ya kisiasa na ya kijamii katika Hijra, na tathmini ya wasomi wa kimagharibi kuhusu Hijra. Makala hii ni mwendelezo wa makala iliyopita… sasa endelea. Hijra ya Mtume (S.A.W) haikuwa tu kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine,…

Read More

Mambo ya kuzingatia kwa mwenye kisukari na ujauzito

Dar es Salaam. Kuwa na kisukari haina maana kuwa huwezi kupata ujauzito salama. Hata hivyo, ni muhimu sana kwa mwanamke mwenye kisukari kupanga ujauzito wake kwa umakini, kwa kushirikiana na wataalamu wa afya. Hatua hii ya maandalizi husaidia kupunguza hatari kwa mama na mtoto, hasa katika hatua za mwanzo za ujauzito, ambapo viungo vya mtoto…

Read More