Arusha. Dosari za kisheria zimewaepusha adhabu ya kunyongwa hadi kufa watu wanne, waliokuwa wamehukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Tabora baada ya kukutwa na hatia
Month: July 2025

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa Tanzania sasa wana sababu ya kutabasamu kufuatia uzinduzi wa ndege mpya maalumu ya mizigo inayounganisha Dar es Salaam na Dubai,

Moshi. Ni siku iliyojaa huzuni na majonzi wakati familia za watu 36 kati ya 42 zikiaga miili ya wapendwa wao waliofariki dunia katika ajali ya

Dar es Salaam. Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema litatumia takribani Sh120 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Bomba la gesi asilia kutoka

Dar es Salaam. Ikiwa imesalia miezi michache kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini, Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imesisitiza kuzingatiwa kwa maadili ya kisiasa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Majisafi na Usafi Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), leo Alhamisi Julai 3, 2025 imefanya ziara ya nyumba kwa nyumba katika

Dar es Salaam. Kufuatia utafiti mpya ulichapishwa na Jarida la Afya ‘The Lancert Global Health’ umebainika uwepo wa dawa duni na bandia za saratani Afrika,

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewaapisha wakuu wa wilaya watano na Mkuu wa Mkoa aliowateua hivi karibuni huku wakiahidi kushughulikia changamoto zinazowakumba wananchi

Dar es Salaam. Makada 5,475 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kuomba ridhaa ya chama kuteuliwa kuwania nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini katika

Arusha. Serikali inatarajia kuanzisha biashara ya kuuza wanyama hai kwa mataifa mbalimbali duniani, ikiwa ni juhudi za kuboresha uchumi wa wafugaji pamoja na kukuza pato