Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 48
Habari

Wanne waliohukumiwa kwa kumuua mwanafunzi, aliyezikwa bila kichwa waachiwa

July 3, 2025 Admin

Arusha. Dosari za kisheria zimewaepusha adhabu ya kunyongwa hadi kufa watu wanne, waliokuwa wamehukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Tabora baada ya kukutwa na hatia

Read More
Habari

Kicheko kwa wasafirishaji wa Tanzania, Dubai ikiletwa ndege ya mizigo

July 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa Tanzania sasa wana sababu ya kutabasamu kufuatia uzinduzi wa ndege mpya maalumu ya mizigo inayounganisha Dar es Salaam na Dubai,

Read More
Habari

Miili 36 ya ajali ya Same ilivyoagwa KCMC

July 3, 2025 Admin

Moshi. Ni siku iliyojaa huzuni na majonzi wakati familia za watu 36 kati ya 42 zikiaga miili ya wapendwa wao waliofariki dunia katika ajali ya

Read More
Habari

Sh120 bilioni kusafirisha gesi asilia kutoka Ntorya hadi Madimba Mtwara

July 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema litatumia takribani Sh120 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Bomba la gesi asilia kutoka

Read More
Habari

CCT yasisitiza amani na utulivu uchaguzi mkuu

July 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ikiwa imesalia miezi michache kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini, Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imesisitiza kuzingatiwa kwa maadili ya kisiasa

Read More
Habari

Dawasa yapita nyumba kwa nyumba kukagua upatikanaji maji

July 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mamlaka ya Majisafi na Usafi Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), leo Alhamisi Julai 3, 2025 imefanya ziara ya nyumba kwa nyumba katika

Read More
Habari

Tanzania yatoa kauli utafiti ukibaini dawa za saratani bandia, duni Afrika

July 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kufuatia utafiti mpya ulichapishwa na Jarida la Afya ‘The Lancert Global Health’ umebainika uwepo wa dawa duni na bandia za saratani Afrika,

Read More
Habari

Mwinyi awaapisha RC, maDC wakiahidi kushughulikia kero za wananchi

July 3, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewaapisha wakuu wa wilaya watano na Mkuu wa Mkoa aliowateua hivi karibuni huku wakiahidi kushughulikia changamoto zinazowakumba wananchi

Read More
Habari

Kuna nini bungeni? | Mwananchi

July 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Makada 5,475 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kuomba ridhaa ya chama kuteuliwa kuwania nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini katika

Read More
Habari

Tanzania kuanza kuuza wanyama hai nchi za Uarabuni, Misri

July 3, 2025 Admin

Arusha. Serikali inatarajia kuanzisha biashara ya kuuza wanyama hai kwa mataifa mbalimbali duniani, ikiwa ni juhudi za kuboresha uchumi wa wafugaji pamoja na kukuza pato

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 47 48 49 … 73 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.