Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 48
Habari

Mwinyi awaapisha RC, maDC wakiahidi kushughulikia kero za wananchi

July 3, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewaapisha wakuu wa wilaya watano na Mkuu wa Mkoa aliowateua hivi karibuni huku wakiahidi kushughulikia changamoto zinazowakumba wananchi

Read More
Habari

Kuna nini bungeni? | Mwananchi

July 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Makada 5,475 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kuomba ridhaa ya chama kuteuliwa kuwania nafasi za ubunge katika majimbo mbalimbali nchini katika

Read More
Habari

Tanzania kuanza kuuza wanyama hai nchi za Uarabuni, Misri

July 3, 2025 Admin

Arusha. Serikali inatarajia kuanzisha biashara ya kuuza wanyama hai kwa mataifa mbalimbali duniani, ikiwa ni juhudi za kuboresha uchumi wa wafugaji pamoja na kukuza pato

Read More
Burudani

CCM yaonya vikao vya mchujo, teuzi

July 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa maagizo kwa kamati za siasa za chama hicho kutenda haki na wasionee watu katika vikao vya mchakato

Read More
Burudani

CCM yavuna Sh3.5 bilioni za fomu ubunge, udiwani

July 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejikusanyia zaidi ya Sh3.5 bilioni kutoka kwa watia nia wa udiwani, wabunge na uwakilishi katika kinyany’anyiro cha kupata

Read More
Habari

Rais Mwinyi akaribisha wawekezaji vyuo vikuu vya kimataifa

July 3, 2025 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inaweza kutengeneza nafasi kubwa ya kuwa kituo cha elimu ya ubunifu kikanda na kimataifa kutokana

Read More
Michezo

Uchaguzi TFF wapingwa BMT | Mwanaspoti

July 3, 2025 Admin

WAKATI usaili wa wagombea 25 waliojitokeza kuwania nafasi za kuliongoza Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ukifanyika jana uchaguzi huo umepingwa katika ofisi za Baraza la

Read More
Habari

Miaka 10 ya Majaliwa ilivyoonyesha upekee

July 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Miaka 10 ya Kassim Majaliwa kama Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekuwa ya kipekee machoni mwa Watanzania, kuanzia kwenye

Read More
Habari

REA YAJA NA MPANGO KABAMBE WA KUWEZESHA UJENZI WA VITUO VYA MAFUTA VIJIJINI

July 3, 2025 Admin

-Mkopo wa hadi Shilingi Milioni 133 kwa riba ya 5%-7% kutolewa -Marejesho ni ndani ya miaka 7 -Lengo ni kuhakikisha bidhaa za mafuta zinapatikana kwa

Read More
Michezo

Mushi mzuka mwingi ufungaji pointi kikapu

July 3, 2025 Admin

BAADA ya Jonas Mushi kutoka timu ya Stein Warriors kushika nafasi sita katika ufungaji wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ametamba

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 47 48 49 … 72 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.