Tanzania kujizatiti kibiashara soko huru la Afrika

Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo amesema Tanzania ina kila sababu ya kupiga hatua kwenye biashara nje ya nchi kupitia soko huru barani Afrika.  Ameyasema hayo leo Alhamisi Julai 24, 2025 jijini Dar es Salaam katika hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Kitaifa wa Utekelezaji wa Mkataba wa Eneo Huru…

Read More

Uganda yaichapa Senegal 2-1 Cecafa Pre-Chan 2024

Mabingwa watetetzi wa Kombe la CHAN, Senegal wameanza vibaya maandalizi ya michuano hiyo baada ya kupoteza kwa mabao 2-1 katika mashindano ya CECAFA Pre CHAN dhidi ya Uganda. Katika mchezo huo uliofanyika leo Julai 24, 2025 kwenye Uwanja wa Black Rhino uliopo Karatu mkoani Arusha, timu hizo zilienda mapumziko zikiwa hazijafungana. Baada ya kurejea kipindi…

Read More

Panga kuendelea Mashujaa FC, yaacha watano

UONGOZI wa maafande wa Mashujaa FC, umetangaza kuachana na nyota watano wa kikosi hicho baada ya kutofikia makubaliano ya kusaini mkataba mpya, huku ikielezwa huenda ikaachana na wimbi kubwa la wachezaji ili kufanya maboresho kikosini. Nyota waliotangazwa kuachwa na timu hiyo ni beki wa kulia, Omary Kindamba na viungo, Zubery Dabi na Ally Nassoro Iddi…

Read More

Sh250 milioni kuwafadhili wanafunzi wenye vipaji

Dar es Salaam. Benki ya Diamond Trust Tanzania Plc (DTB) imetoa msaada wa Sh250 milioni kwa Huduma ya Elimu ya Aga Khan Tanzania (AKES) ili kusaidia ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wanaosomea Mpango wa Diploma ya Kimataifa ya International Baccalaureate (IB). Mpango huo unawalenga wanafunzi wa Kitanzania wenye vipaji, hususan kutoka katika mazingira yasiyo na…

Read More

Kinondoni yaongoza kwa uhalifu, polisi wataja mikakati

Dar es Salaam. Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni jijini Dar es Salaam umetajwa kuongoza katika aina zote nne za uhalifu zilizobainishwa katika ripoti mpya ya Jeshi la Polisi. Ripoti ya Uhalifu na Usalama Barabarani Jan–Des 2024 (Crime and Traffic Incidence Statistics) iliyochapishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imeonyesha kuwa mkoa huo unaongoza katika…

Read More

KUNENGE ARIDHISHWA NA UWEKEZAJI WA KUUNGANISHA MAGARI BAGAMOYO KUSHIRIKISHA VIJANA WA KITANZANIA

Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo Julai 24,2025 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametembelea kiwanda cha kuunganisha magari aina ya FAW cha Rostar Vehicle Equipment Ltd ,wilayani Bagamoyo na ameridhishwa na kazi kubwa inayoendelea kufanyika .  Amepongeza wawekezaji hao kushirikisha vijana wa Kitanzania kupata ajira na mafunzo ya kuunganisha magari hayo. “Vijana wana uwezo! Ni wabunifu,…

Read More

Wenye umri huu hatarini kupata homa ya ini

Dodoma. Watu wenye umri wa miaka 15 hadi 60 wapo hatarini kuugua homa ya ini huku takwimu zikionyesha asilimia 3.5 ya kundi hilo huathiriwa na ugonjwa huo. Hayo yamebainishwa leo Julai 24, 2025 na Meneja mpango wa Taifa wa kudhibiti Ukimwi, magonjwa ya ngono na homa ya ini, Dk Prosper Njau wakati wa mkutano na…

Read More