NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV MSHAMBULIAJI wa timu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ureno Diego Jota amefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya gari
Month: July 2025

………………. KILWA. Mhasibu Mkuu Mkoa wa Tanga, Ahmed Bongi amejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania kuteuliwa nafasi ya Ubunge Jimbo la Kilwa Kusini kupitia Chama Cha

Florent Ibenge KOCHA Mkuu wa Al Hilal Omdurman ya nchini Sudan, Florent Ibenge inatajwa kuwa amemalizana na matajiri wa Dar, Azam FC

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amekutana na Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Ulaya (EU), wanaowakilisha nchi

Estonia, Ufini, Latvia, Lithuania, Poland na Ukraine wamechukua au wanazingatia hatua za kujiondoa kwenye Mkutano wa Kukataza kwa Matumizi, Hifadhi, Uzalishaji na Uhamisho wa Migodi

Moshi. Vilio na simanzi vimetawala katika viwanja vya Hospitali ya KCMC, mkoani Kilimanjaro wakati ndugu wakishuhudia majeneza 36 kati ya 42 yenye miili ya ndugu

:::::: Katika hali isiyokuwa ya kawaida Watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na Uongozi wake wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Bw.
Kampuni ya Xerin Group inajivunia kutangaza kuzindua rasmi huduma yake maalum ya kukodisha mizigo ya anga, hatua kubwa katika kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya

Dar es Salaam, Julai 2, 2025 Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama mwaka 2025 umeanza rasmi leo jijini Dar es Salaam, ukiwa na waendesha baiskeli

Kushughulikia wajumbe katika UN Mkutano juu ya matumizi ya amani ya nafasi ya nje, Amina Mohammed alihimiza ushirikiano mkubwa wa kimataifa kwani ulimwengu unazidi kutegemea